DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Kweli tuko tofauti sana. Wenzako tunawaza namna gani tupate pesa wewe unawaza kuwashaur wanawake wawakatae wanaume wasiokua na pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usianze kulazimisha kuolewa na yoyote umri ukianza kukukimbia, play your cards right.Kumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!
Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!
Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!
Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?
Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia
Mwanaume haturidhiki
Nakaribisha Mapovu.
Anatafuta umaarufu kwa kiki hiyo mjinga huyo hela ndo maisha halisi ya mtu? Yaani kuna watu hawajielewi na kamwe hawatajielewa mpaka kiama wallahHela huisha, upendo wa kweli hudumu milele!!!
Siio kila penye hela kuna furaha!!
Ndo wanaume wa karne hii MkuuAnatafuta umaarufu kwa kiki hiyo mjinga huyo hela ndo maisha halisi ya mtu? Yaani kuna watu hawajielewi na kamwe hawatajielewa mpaka kiama wallah
heshimaa yako[emoji137] .Akili za kuambiwa changanya na zako...
Nakusalimia.