Usimkubali wala kumvumilia mwanaume asiye na pesa

Usimkubali wala kumvumilia mwanaume asiye na pesa

Kweli tuko tofauti sana. Wenzako tunawaza namna gani tupate pesa wewe unawaza kuwashaur wanawake wawakatae wanaume wasiokua na pesa.
 
Nimemuona kipendacho roho JF



Kipindi cha likizo.




3dcf97b6ad9cc997d9c949c1e1e86d74.jpg
 
Kumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!

Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!

Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!

Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?

Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia


Mwanaume haturidhiki

Nakaribisha Mapovu.
Usianze kulazimisha kuolewa na yoyote umri ukianza kukukimbia, play your cards right.
 
Hela huisha, upendo wa kweli hudumu milele!!!

Siio kila penye hela kuna furaha!!
Anatafuta umaarufu kwa kiki hiyo mjinga huyo hela ndo maisha halisi ya mtu? Yaani kuna watu hawajielewi na kamwe hawatajielewa mpaka kiama wallah
 
Ila umesahau kuwa wanawake wenzio siku hizi wanahitaji zaidi masshine wengi wao wanatafuta mwanaume wa kuwapiga mashine na wengi wao siku hizi ndio wanalipia kila kitu.
 
Anatafuta umaarufu kwa kiki hiyo mjinga huyo hela ndo maisha halisi ya mtu? Yaani kuna watu hawajielewi na kamwe hawatajielewa mpaka kiama wallah
Ndo wanaume wa karne hii Mkuu
 
Yani huyu Dada kajiunga JeiEfu Siku mbili kabla ya Babu Seya kutoka gerezani ili aje aponde wanaume masikini hehehehehehee,utulinde eeh Mungu wanaume ni endangered species sikuizi
 
Hio tabia yako binafsi, usiwajumuishe na wengine.
 
We muombe helo boyfriend wako mkuu.
Hizo habari zingine tuachie wanaume tufanye yetu, Kama ingekua mapenzi ni pesa basis hata wanyama wasingekua na wapenzi maana wanayama hawana pesa.

Mpenzi wangu akiniomba pesa kwa mahitaji na iko ndani ya uwezo wangu kwani ntashindwa kumpa? au nisipokua nayo ndio unamshauri aniache?

Una frustrations zako
Utakua umeachwa wewe
 
Back
Top Bottom