Usimpe mtu connection ya kazi ni Bora uiuze kwa gharama

Usimpe mtu connection ya kazi ni Bora uiuze kwa gharama

Watu wasio na ajira au kazi tuwe tunawahurumia ndugu zangu. Tusifike huku.
 
Msaada unakanuni zake.
Sio kila mtu ni wakusaidiwa, kasome vizuri maandiko au visa vya wahenga.

Kuna watu ukiwasaidia amini amini nakuambia umejitia kitanzi mwenyewe.
Ni kumuomba Mungu macho akuonyeshe
Mkuu nakuelewa ila ukishasema lipa, huo si msaada tena ni dili lako. Na dili aina hii huwa halifanyi kazi nje ya watu usiowafahamu.
Kwa watu mlio na mahusiano kusaidiana kupo hivi:

Win-Win: Hawa unawasaidia lakini kuna siku watakusaidia sababu mpo kwenye circle moja, au huenda walishakusaidia na sasa ni wakati wako kuwasaidia. Watu wa aina hii mara nyingi hamtofautiani sana kiuwezo. Kwann umlipishe wakati unajua kuna siku utaugonga mlango wake?

Lose-Win: Hawa ni ndugu, wapenzi, marafiki wa kushibana. Unasomesha mtoto wa shangazi unajua kabisa hakuna utakalopata. Unamtafutia mpenzi kazi ukijua akishaipata ndo basi umempoteza na still unamtaftia n.k. Huyu kumlipisha huwezi sababu wanakuwa hawapo kwenye nafasi ya kulipa unless unajua pesa zipo utumie uwongo maana ukisema ukweli kuwa nataka unilipe hiyo taarifa inabaki kwenye rekodi zake na copy zitasambazwa kwa watu wote wanaokufahamu na wasiokufahamu. Kwann umlipishe? Bora uachane nae usimpe huo msaada.

Lose-Lose: Hawa ni wale wa kusaidiana ujinga. Ni common sana kwa vijana age 25-35. Mnasaidiana kwenye mambo ya kuwaumiza wote. Mfano kupeana connection za madada poa wa hadhi ya juu kama wasanii wale pesa zenu, kushauriana kumiliki gari zisizoendana na kipato n.k. Na huwa mnaona mmeshibana kweli. Na mnasaidiana bure. Hamlipishani ila mnapotezana.
 
Naunga mkono hoja.
Kuna jamaa nimemuunga kazi kutoka mavumbini sasa anataka ale sahani moja na Mimi kwenye kila dili kazini kwetu.
Najuta kumuunga, bora ningeiuza tu heshima ingekuwepo.
 
Tuwe kama polisi tu,kama ana ndugu ana msala anampasia mwana wale hela bila kinyongo
 
Usiache kutenda wema kwa sababu tu watu wengi wamekengeuka at the end of the day na wewe pia unategemea wema wa mtu somewhere kwa kujua au kutokujua in your progress tunaishi kwenye ulimwenge mdogo sana so possibility ya kukutana mara nyingi ni kubwa mno what if leo umeniuzia kaz kesho na kesho kutwa nimekua boss namuomba unyumba bint yako ili nimpe kaz maana hela ya kunipa hana.
Ukiwa juu jaribu kuwaza kama uko chini ungependa utendewe nin
 
Usiache kutenda wema kwa sababu tu watu wengi wamekengeuka at the end of the day na wewe pia unategemea wema wa mtu somewhere kwa kujua au kutokujua in your progress tunaishi kwenye ulimwenge mdogo sana so possibility ya kukutana mara nyingi ni kubwa mno what if leo umeniuzia kaz kesho na kesho kutwa nimekua boss namuomba unyumba bint yako ili nimpe kaz maana hela ya kunipa hana.
Ukiwa juu jaribu kuwaza kama uko chini ungependa utendewe nin

Kwa ulimwengu WA sasa Hilo wala sio Tatizo.

Dunia ya sasa ni kuzimu hizo rules za peponi hazitumiki
 
So rushwa inahalalishwa jukwaani

Ukitaka kuiita Rushwa ni Sawa.

Rushwa maana yake lakini unaijua.
Kama ulitafuta mwenyewe kazi hiyo ndio huitwa Rushwa.
Lakini kama umetafutiwa kama utaombwa pesa hiyo sio Rushwa Ila biashara.
Nipe kazi nikupe mchongo niliokutafutia.

Ni Kama umekuja na mazao kutoka shambani ukamuambia mtu umekosa soko la kuuza mazao yako.
Mtu huyo akauambia nikikupa soko utanipa kiwango hiki cha pesa kama sehemu ya kazi niliyoifanya kukutafutia soko. Je hiyo ni Rushwa?

Hii ni tofauti unamazao, ukapata soko lakini huko sokoni akatokea mtu akakuambia bila kunipa kiwango Fulani huuzi hapa. Hiyo ndio huitwa rushwa
 
Mkuu nakuelewa ila ukishasema lipa, huo si msaada tena ni dili lako. Na dili aina hii huwa halifanyi kazi nje ya watu usiowafahamu.
Kwa watu mlio na mahusiano kusaidiana kupo hivi:

Win-Win: Hawa unawasaidia lakini kuna siku watakusaidia sababu mpo kwenye circle moja, au huenda walishakusaidia na sasa ni wakati wako kuwasaidia. Watu wa aina hii mara nyingi hamtofautiani sana kiuwezo. Kwann umlipishe wakati unajua kuna siku utaugonga mlango wake?

Lose-Win: Hawa ni ndugu, wapenzi, marafiki wa kushibana. Unasomesha mtoto wa shangazi unajua kabisa hakuna utakalopata. Unamtafutia mpenzi kazi ukijua akishaipata ndo basi umempoteza na still unamtaftia n.k. Huyu kumlipisha huwezi sababu wanakuwa hawapo kwenye nafasi ya kulipa unless unajua pesa zipo utumie uwongo maana ukisema ukweli kuwa nataka unilipe hiyo taarifa inabaki kwenye rekodi zake na copy zitasambazwa kwa watu wote wanaokufahamu na wasiokufahamu. Kwann umlipishe? Bora uachane nae usimpe huo msaada.

Lose-Lose: Hawa ni wale wa kusaidiana ujinga. Ni common sana kwa vijana age 25-35. Mnasaidiana kwenye mambo ya kuwaumiza wote. Mfano kupeana connection za madada poa wa hadhi ya juu kama wasanii wale pesa zenu, kushauriana kumiliki gari zisizoendana na kipato n.k. Na huwa mnaona mmeshibana kweli. Na mnasaidiana bure. Hamlipishani ila mnapotezana.

Umeongea vyema
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kazi zenyewe za kuwapa unazo? kusaidia inategemeana sana na roho ya mtu, hiyo pumzi unayovuta na madhambi yako hayo unalipia kiasi gani? acha kufundisha watu roho mbaya.
 
Na kubali Kweli Hakuna Kaz za bure connect inamata na yupi akupe hyo kazi

Iko HV Kuna jmaaa alichukuwa hell zangu akiniahidi kunipa kazi bonite ya area sales manager akanipanga nikapangika ajabu hela kala Hakuna pesa nikaona huyu anannichezeaa nikamtokeaa asbh sna analeta ujinga nikamtokeaa usku Tena akaleta ujinga nikaona huyo anannichezeaa siku mojaa nikamuibukiaa usku nikamuambia leo tutalal na mkeo na na Kama hell zipati Basi tutagawwna majengo ya serekali mbna walipa changu
Andika vizuri
 
Back
Top Bottom