mwanadodoma
JF-Expert Member
- Mar 12, 2024
- 344
- 653
uliliaje siku 4 mfululizo😀Nchi Ina vijana wa ovyo sana hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa ni mstaarabu sana,mshukuru aiseeHabari ya mchana wana jf
Mimi ni miongoni mwa member wachache ambao hatupendi kutoa mikasa yetu humu jf lakini kwa hili lililonipata nimeona tushare tunaweza jifunza vitu flani.
Mimi nina miaka 27, nilikua na mpnzi wangu ambaye tulianza uhusiano 2022 yeye sasa ana miaka 21, na pia yeye nilimkuta na mtoto mmoja na huyu mtu wangu anaishi kwao bado.
Huku mm nikiwa nipo kwangu kuweka mambo sawa ili mungu akipenda siku 1 nimchukue kwa ndoa japo dini ni tofauti bas mwaka jana mwshon nikiwa kazini nikiwa nipo na mtu naefahamiananae ambaye alkua anajua kua yule mschana sipo nae bas akawa ananiambia daa yule shem wa zamani skuhz anatoka na mtu flani na hadi anampikia msosi wanalala wote yan mapenz motomoto, nilimuulza mtu gani akanitajia jina la boy na hilo jina halikua gen kwangu kwan ni mpangaji mwenzao nyumbani kwao.
Kiukweli niliumia sana sana, ukizingatia nilikua namuamini 100% , nikfanya upelelez japo huyu mschana wangu alikataa kata kata yani alilia siku 4 mfululizo bas nami nikafanya upelelezi kwa watu wakarbu ikiwapo watoto wanaoishi nyumba ile pasipo na shaka wote walithibitisha kuwa hili ni la kweli kabisa, ila nikasema kwavile sijathibitsha kwa macho bas nimsamehe maisha yaende .
Badae nikaja kumnunulia simu ilikua hz sm za samsng mtu akifuta sms bas lazma ibaki kwenye recycle bin na yule alikua hajui, basi siku moja nikiwa nmeingia upande wa recycle bin nikaona sms jina lilelile anasema mbona nimekusubiri hujafika nae akamjibu nafika ila usipige. Nikambana ilikuaje akajitetea mm nikapoteza,.
Kubwa kuliko kuna mtu ambaye ndio huyohuyo jina lake nimeliskia sana amenitafuta kwa sm na kuniambia anaomba tuonane anajambo anataka tuongee, nikimkubalia tulionana cha kwanza alianza kunithibitishia kua hayo yote uliyowah sikia ni ya kweli, na kunionyesha picha mbalimbali za huyu mschn akiwa geto kwake jamaa akipika na akiwa anadeki nyngne ni nyng, lengo la kunifata jamaa ni kunishaur kua huyu mwanmke anatamaa sana, na kwasasa ameanza had kudanga kwa watu tofaut kwahyo kma nilikua na malengo bas niish nae kwa target sana niwe makini.
Juu ya hili sijamwambia huyu binti chochote ila nimeona nimuache kidogo kidogo kila mtu ashike zake au option ya 2 niwe nae kwaajili ya kupiga tu mzgo kila mtu ashike zake.
Haya yametokea juz,jana kwahyo bado matanga hayajaanuliwa.
Ahsanteni wana jf, karibun kwa ushauri zaidi.
Asante kwa ushauri.Suala la kuacha au kuwa nae amua mwenyewe
Hah kupenda tu mkuuHuyo jamaa ni mstaarabu sana,mshukuru aisee
Ila nawe acha UJINGA sasa,yaani una miaka 27,unataka uoe single mother,umelogwa au kichaa?
Sema JF user name yako inasadiki yanayokutokea kwenye mapenzi
Asante sana.Miaka 21 bado mdogo sana na hapo alipo hajali chochote kuhusu kitu kinachoitwa ndoa coz anajiona bado mdogo na ataolewa muda wowote, hata sex craving yake iko juu sana kuliko wewe so shukuru Mungu umejua mapema hayo mambo coz ungejua wakati mko ndani ya ndoa uchungu ungekua mara mbili ya huo unaouskia sasa kwa maana inaonekana na iko wazi kwamba unampenda sana huyo dada so nae anacheza na akili zako coz anajua kwake uchomoki.
Ukiona umeshindwa mvumilie vumilie angalau afikishe 30 yrs akili ndio itaanza kumkaa sawa na hapo ukiweka ndani atatulia maana huo umri ndio wadada wengi wakiufikia ilihali hawajaolewa huwa wanapanic na wanapitaga na yeyote anaepita mbele yao ilimradi atangaze ndoa tu.
Sijui anaonaje ajabuInawezekanaa kabisaa
Lakini wewe ni ndondocha mkuu!Asante sana mkuu
HahLakini wewe ni ndondocha mkuu!
Kumvumilia tena hapo ni uongo.Miaka 21 bado mdogo sana na hapo alipo hajali chochote kuhusu kitu kinachoitwa ndoa coz anajiona bado mdogo na ataolewa muda wowote, hata sex craving yake iko juu sana kuliko wewe so shukuru Mungu umejua mapema hayo mambo coz ungejua wakati mko ndani ya ndoa uchungu ungekua mara mbili ya huo unaouskia sasa kwa maana inaonekana na iko wazi kwamba unampenda sana huyo dada so nae anacheza na akili zako coz anajua kwake uchomoki.
Ukiona umeshindwa mvumilie vumilie angalau afikishe 30 yrs akili ndio itaanza kumkaa sawa na hapo ukiweka ndani atatulia maana huo umri ndio wadada wengi wakiufikia ilihali hawajaolewa huwa wanapanic na wanapitaga na yeyote anaepita mbele yao ilimradi atangaze ndoa tu.
Sio kupenda huu ni UPUMBAVU,hakuna mapenzi yasiyo na LOGICHah kupenda tu mkuu
Usharogwa tyr 😃😃😃Habari ya mchana wana jf
Mimi ni miongoni mwa member wachache ambao hatupendi kutoa mikasa yetu humu jf lakini kwa hili lililonipata nimeona tushare tunaweza jifunza vitu flani.
Mimi nina miaka 27, nilikua na mpnzi wangu ambaye tulianza uhusiano 2022 yeye sasa ana miaka 21, na pia yeye nilimkuta na mtoto mmoja na huyu mtu wangu anaishi kwao bado.
Huku mm nikiwa nipo kwangu kuweka mambo sawa ili mungu akipenda siku 1 nimchukue kwa ndoa japo dini ni tofauti bas mwaka jana mwshon nikiwa kazini nikiwa nipo na mtu naefahamiananae ambaye alkua anajua kua yule mschana sipo nae bas akawa ananiambia daa yule shem wa zamani skuhz anatoka na mtu flani na hadi anampikia msosi wanalala wote yan mapenz motomoto, nilimuulza mtu gani akanitajia jina la boy na hilo jina halikua gen kwangu kwan ni mpangaji mwenzao nyumbani kwao.
Kiukweli niliumia sana sana, ukizingatia nilikua namuamini 100% , nikfanya upelelez japo huyu mschana wangu alikataa kata kata yani alilia siku 4 mfululizo bas nami nikafanya upelelezi kwa watu wakarbu ikiwapo watoto wanaoishi nyumba ile pasipo na shaka wote walithibitisha kuwa hili ni la kweli kabisa, ila nikasema kwavile sijathibitsha kwa macho bas nimsamehe maisha yaende .
Badae nikaja kumnunulia simu ilikua hz sm za samsng mtu akifuta sms bas lazma ibaki kwenye recycle bin na yule alikua hajui, basi siku moja nikiwa nmeingia upande wa recycle bin nikaona sms jina lilelile anasema mbona nimekusubiri hujafika nae akamjibu nafika ila usipige. Nikambana ilikuaje akajitetea mm nikapoteza,.
Kubwa kuliko kuna mtu ambaye ndio huyohuyo jina lake nimeliskia sana amenitafuta kwa sm na kuniambia anaomba tuonane anajambo anataka tuongee, nikimkubalia tulionana cha kwanza alianza kunithibitishia kua hayo yote uliyowah sikia ni ya kweli, na kunionyesha picha mbalimbali za huyu mschn akiwa geto kwake jamaa akipika na akiwa anadeki nyngne ni nyng, lengo la kunifata jamaa ni kunishaur kua huyu mwanmke anatamaa sana, na kwasasa ameanza had kudanga kwa watu tofaut kwahyo kma nilikua na malengo bas niish nae kwa target sana niwe makini.
Juu ya hili sijamwambia huyu binti chochote ila nimeona nimuache kidogo kidogo kila mtu ashike zake au option ya 2 niwe nae kwaajili ya kupiga tu mzgo kila mtu ashike zake.
Haya yametokea juz,jana kwahyo bado matanga hayajaanuliwa.
Ahsanteni wana jf, karibun kwa ushauri zaidi.
Nimekuelewa dada,nilifanya makosa kumsamehe mara ya 1 lkn nilimsamh kwakua sikua na uhakika wa 100 % kama amesalt.Unasubiria magonjwa au kipi?
Mwanaume au mwanamke wako akikusaliti mara moja achana naye.!!
Msaliti hapewi nafasi ya kujitetea wala ya kusamehewa..!!
KwannUsharogwa tyr 😃😃😃
Hahahaaa""Nia na madhumuni yako..
Nimeshavitambua siwema dada....
Siwema dada aaaaah aaaaah aaaah
Unajitapaa mbele ya rafiki zako kwamba mimi sina la kusema mbele yako.
Umeniweka kwenye kiganja mamaaaa...........""""
Nimezungukaaaaaaaaaa tz
Hilo ndio kosa, siku nyingine usirudie.!!Nimekuelewa dada,nilifanya makosa kumsamehe mara ya 1 lkn nilimsamh kwakua sikua na uhakika wa 100 % kama amesalt.