Usimpe nafasi ya pili mwanamke aliyekusaliti: Soma yaliyonikuta unaweza jifunza kitu

Mwache kabla ajakuroga na jini ndoa ndoa
 
Nakitumia kila siku.

Naweza kuongea na mtu dakika tano tu nikajua huyu hatutaendana naye namaliza kila kitu hapo hapo.

Tatizo watu wengi wanapewa alama zote kwamba mtu atakuwa msaliti, ila wanakuwa ving'ang'anizi.
Anajidai mabuntu ye king'ang'ana ngoja atokee dume lingine limlipie kodi uyo demu afu jamaa akutwe gheto
 
Nakitumia kila siku.

Naweza kuongea na mtu dakika tano tu nikajua huyu hatutaendana naye namaliza kila kitu hapo hapo.

Tatizo watu wengi wanapewa alama zote kwamba mtu atakuwa msaliti, ila wanakuwa ving'ang'anizi.
Mkuu vipi unaweza kunipa tips chache za kumjua mtu msaliti labda zinaweza kunisaidia siku moja
 
Sometimes unakua haupo sure 100% kama ule mwanzo ndio maana nilimsamehe,
 
Uwe nae kwaajili ya kupiga mzigo tu!!? My brother Kuna utiai,gono,kaswende,ukimwi, upotevu was muda,pesa. Why uwe na mtu bila sababu ya msingi? Time Will Tell
Over.
Niliona labda abaki kuwa kipunguza ham tu,nikitaka njoo tunafanya alafu anapita kushoto.
 
Fwata moyo wako vile inataka ila kumbuka wewe ni muhimu sana, kuliko huyo kiruka njia ambae hajui nini ana hitaji. Huwa inafikirisha sana kuona kijana wa kiume kukosa maamuzi sahihi mnashida gani kaka zetu
Asante nakuelewa, nimefanya maamuzi juu ya hili.
 
unaonekana mlaini sana, mwizi wako mpaka anakuita akupe ushauri juu ya kifaa akichokuibia kuwa sio kizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…