binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kuwa makini na huo “utamu” kuna kisukari 😂Watoto wa singida mnakuwaga watamu sana. Piga magoti kuongeza utamu wako kwa mwanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa makini na huo “utamu” kuna kisukari 😂Watoto wa singida mnakuwaga watamu sana. Piga magoti kuongeza utamu wako kwa mwanaume.
Nimependa hicho kipande cha mwisho uliposema hasa mwanaume ninae mvunini nini sijui na nini nini vile pale [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Sijapinga kupiga goti kwenye mambo mengine kama ni utamaduni wao.
SIdhani kama hayo makabila uliyoyataja wana utamaduni wa kuvishana pete tena kwa kupiga goti.
Ninachosema ni kwamba kuvishana pete kwa kupiga goto mwanaume ni utamaduni wa kizungu..sisi tunaiga halafu tunakuja kulazimisha mwanamke apige goti.
KUvalishana pete kwa kupiga goti ni utamaduni wa mzungu na utaendelea kuwa hivyo. Sisi tuache kuiga.
Mimi mchaga sijawahi fundishwa kupiga goti popote pale. Na haitatokea nikapiga goti hasa kwa mwanaume ninae mvulia chupi.
Labda mzazi...
Acha hizo 😅Nimependa hicho kipande cha mwisho uliposema hasa mwanaume ninae mvunini nini sijui na nini nini vile pale [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Sasa magoti unapiga ya nini mbwa wewe!?Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.
Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.
My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.
Natural what? Natural where? Which naturality are speaking?Kupiga magoti ni mapenzi tu ya mtu kwa mtu wala haina maana it come naturaallyyyy😍
Kuna mpuuzi mwana tulimpa escort ya engagement ila tulimpa onyo mapema kuwa akipiga goti tuu tutaondoka na hatutashiriki mchakato mzima wa harusi yake. Eee jamaa sijui lilishwa nini na demu,si likapiga goti bana tukasepa pale pale.Mimi nilishawahi kuondoka kwenye party ya engagement baada ya kuona jamaa kapiga goti. Sikuweza kuendelea kuwepo pale maana niliona wanaume tumedhalilishwa
Beki hazikabiWatoto wa singida mnakuwaga watamu sana. Piga magoti kuongeza utamu wako kwa mwanaume.
Alifikiri mnamtaniaKuna mpuuzi mwana tulimpa escort ya engagement ila tulimpa onyo mapema kuwa akipiga goti tuu tutaondoka na hatutashiriki mchakato mzima wa harusi yake. Eee jamaa sijui lilishwa nini na demu,si likapiga goti bana tukasepa pale pale.
Wanadai eti kisa sisi ndo tunaowatongoza na kuwaomba tuwaor ndomaana tunatakiwa kuwapigia magoti, sijui huu utaratibu umeanza vipi.Mapenzi na upumbavu ni vitu viwili tofauti
Je mwalimu angekuwa wa kike, ngempokonya daftari?Especially mwanamke aisee..siwezi kujiweka chini ya mwanamke kwa lolote. Nakumbuka primary siku iyo mwalimu kakusanya madaftari halafu kaandika majibu ubaoni kagawa madaftari kwa wanafunzi tofauti tofauti tusahihishane daftari langu akampa demu nikalichukua, ticha akauliza vipi nikamwambia straight kabisa daftari langu halisahihishwi na mwanamke baada ya kubishana bishana akaamua kunisahishia yeye mwenyewe.
Kumbe we ni mjaluo, ndomaana mkatili kwa wanawakeSisi kwetu ujaluoni ndio tuone mwanaume mwenzetu anafanya huo ujinga tunamcharaza mapanga hapo hapo katikati ya shughuli ya engagement
Nduru ni nini?Hii iwe applied kwa wakurya tu..wengine tunapiga hata nduru
Sijakataa kwamba kupiga goti ni kuonyesha utii. Pia ni kwa baadhi ya mila ndo ipo hivyo..
Kwa sisi wachaga hakuna mahali mwanamke anapiga goti...na wala haifundishwi hivyo.
Unakabidhi cake huku umesimama kama mlingoti😅.
Nilichotaka kusema ni kwamba, tuache kuiga mila za wazungu halafu tunakuja kulumbana wenyewe kwamba sio sawa. Kwao ni sawa na tuache iwe hivyo. Sisi tufanye ya kwetu kama mila zetu zinavyosema
Wanawake wa mkoa wa Kilimanjaro na Arusha ndo wanaongoza kwa kuwa na nidhamu mbovu kwa wanaume nadhani dunia nzima.Sijakataa kwamba kupiga goti ni kuonyesha utii. Pia ni kwa baadhi ya mila ndo ipo hivyo..
Kwa sisi wachaga hakuna mahali mwanamke anapiga goti...na wala haifundishwi hivyo.
Unakabidhi cake huku umesimama kama mlingoti😅.
Nilichotaka kusema ni kwamba, tuache kuiga mila za wazungu halafu tunakuja kulumbana wenyewe kwamba sio sawa. Kwao ni sawa na tuache iwe hivyo. Sisi tufanye ya kwetu kama mila zetu zinavyosema.
Utakufa ukiwa single mother shauri yako.Sijapinga kupiga goti kwenye mambo mengine kama ni utamaduni wao.
SIdhani kama hayo makabila uliyoyataja wana utamaduni wa kuvishana pete tena kwa kupiga goti.
Ninachosema ni kwamba kuvishana pete kwa kupiga goto mwanaume ni utamaduni wa kizungu..sisi tunaiga halafu tunakuja kulazimisha mwanamke apige goti.
KUvalishana pete kwa kupiga goti ni utamaduni wa mzungu na utaendelea kuwa hivyo. Sisi tuache kuiga.
Mimi mchaga sijawahi fundishwa kupiga goti popote pale. Na haitatokea nikapiga goti hasa kwa mwanaume ninae mvulia chupi.
Labda mzazi...
Ikawaje baada ya hapo, sherehe iliendelea?Kuna mpuuzi mwana tulimpa escort ya engagement ila tulimpa onyo mapema kuwa akipiga goti tuu tutaondoka na hatutashiriki mchakato mzima wa harusi yake. Eee jamaa sijui lilishwa nini na demu,si likapiga goti bana tukasepa pale pale.
Usimuonee huruma mwanamkeKumbe we ni mjaluo, ndomaana mkatili kwa wanawake
Ndiooooo kweliiiiii aseee ujinga sitakiii mtoto wangu akifanya ujinga huo tajutaaNi upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.
Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.
Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.
Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.
My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.
Don't be simp.
ila sheria zilizowekwa ndo zinawapa jeuri, hata shetani ana afadhali.Usimuonee huruma mwanamke
Ni vifaa vya ujenziNduru ni nini?
Halafu bora asiwe na kipato maana akiwa na kipato ndio anakuwa mjinga zaidi atanunua sindano na cream za kukuza makalio mixer kununua vinguo vya kuwaattract wala tigo wenye pesa nyingi hapo ndipo wewe utaanza kufa kwa kihoroKwa kweli Wanawake wa Kiafrika hawana cha ku offer kwenye ndoa zaidi ya uke.
Ni gharama sana kuishi na Mwanamke wa kiafrika,hata akiwa anaingiza kipato bado kipato chake hakina msaada kwenye familia.