Usimpigie magoti mwanamke unapomvalisha pete

Usimpigie magoti mwanamke unapomvalisha pete

Title ilitakiwa iwe

Enyi ndugu zangu wakristo usipige goti wakati wa kumvisha pete mwanamke.
 
Shem singidani na magoti wapi na wapi? si mwanamke wala mwanaume anayepiga goti.

Mtasimama tu mkivalishana shem, sana sana ke atabonyea kidogo….. kidogo sana. au asimame tu na yeye.
Kwangu hilo halina shida kabisa, abonyee au asibonyee ni maamuzi yake shem.
 
Hakuna makubaliano kwenye suala la utiifu, from the first place mwanamke ndie anatakiwa kuwa submissive kwa mwanaume
Hakuna mahali nimebisha. Ninachosema ni kwamba mtindo wa kuvalishana pete..tena wa kupiga magoti sio wa kwetu bali ni wa wazungu. Tuwaachie utamaduni wao kama tunaona haupo sawa...sio kuanza kubishana nani apige goti na nani asipige.
 
niliwahi muambia kijana wangu mmoja marufuku kupiga goti. ukijapiga goti nitakuzingua sana

somo alilielewa
 
Hakuna mahali nimebisha. Ninachosema ni kwamba mtindo wa kuvalishana pete..tena wa kupiga magoti sio wa kwetu bali ni wa wazungu. Tuwaachie utamaduni wao kama tunaona haupo sawa...sio kuanza kubishana nani apige goti na nani asipige.
Mada haihusiani na mambo ya utamaduni mada inahusiana na tukio lenyewe la kuvalishana pete.

Mkikubaliana kuvalishana pete mwanamke ndie anatakiwa kupiga goti.
 
niliwahi muambia kijana wangu mmoja marufuku kupiga goti. ukijapiga goti nitakuzingua sana

somo alilielewa
Mimi kwenye group la whatsapp nilimchana live kabisa ndugu yangu ambae alikua anatarajia kwenda kuchumbia, nikamwambia ukipiga goti tunakutenga kwenye ukoo.
 
Ni mpumbavu tu anaweza kumpigia magoti kiumbe ambaye anamlipia mahari halafu akitoka hapo anatakiwa akamilishe, kumvisha na huduma nyingine zinazohitaji pesa. Nani sasa alitakiwa kupiga goti?

Ni nadra sana utasikia mwanaume anasimangwa au kupata stress kwa kukosa ndoa. Nawasikia wanawake tu wakihangaika kutafuta ndoa wakienda kwa waganga na wengine kwa Mwamposa. Sasa wewe unapigaje goti bro wakati wao ndio huwa wanahangaika kutafuta ndoa? Acha kuongozwa na hisia. Heshimu uanaume wako.
99% benefits za maisha ya mwanamke zinapatikana katika mahusiano ya ndoa. 100% ya benefits za kimafanikio za mwanaume anapata nje ya ndoa.
 
Kwa kweli Wanawake wa Kiafrika hawana cha ku offer kwenye ndoa zaidi ya uke.
Ni gharama sana kuishi na Mwanamke wa kiafrika,hata akiwa anaingiza kipato bado kipato chake hakina msaada kwenye familia.
Huko USA na UK ambapo harakati za kumkomboa mwanamke zimeanza hali si shwari kama huku tu.

Wanawake wana kazi nzuri, account zina hela, wana nyumba wanamiliki, magari ya bei, ila somehow bado wanastruggle kutafuta mwanaume wa kuwapa furaha au sababu ya kukamilisha maisha yao yawe maisha kamili.

Ni wazi wanawake mwalimu wao ni kipofu sababu ni kama walishaandikiwa tokea uumbaji kuwa maisha yao bila mwanaume hakuna ambalo litakwenda sawa sawa.

Wanaume tunakubali kabisa bila mwanamke mtii maisha yetu hayana furaha. Ila wao wanatulazimisha kuprove kuwa wao wanaweza maisha bila mwanaume na hawamuhitaji kwasababu yoyote ile.


Anyways, ndio maana tunaamua kuwapa challenge wanayoitafuta. Mtu akiwashwa halafu anakataa kukunwa na hana kucha muache na muwasho wake ahangaike nao.
 
Huwaga nachukia hichi kitendo hadi mwili huwa unasisimka naona aibu nikiona dume zima limechchuchuma eti linamvisha Pete mwanamke, huwa natama nikamnase kibao, yaani hichi kizazi cha Gen-z bwana daaah!
Ukifanya lile tendo mwanamke unampa ishara ya kumuabudu na kumtukuza na ndio maana wanawake waliopigiwa magoti huwa wanawapelekeshwa sana na wanawake zao.
 
Sijakataa kwamba kupiga goti ni kuonyesha utii. Pia ni kwa baadhi ya mila ndo ipo hivyo..
Kwa sisi wachaga hakuna mahali mwanamke anapiga goti...na wala haifundishwi hivyo.
Unakabidhi cake huku umesimama kama mlingoti[emoji28].

Nilichotaka kusema ni kwamba, tuache kuiga mila za wazungu halafu tunakuja kulumbana wenyewe kwamba sio sawa. Kwao ni sawa na tuache iwe hivyo. Sisi tufanye ya kwetu kama mila zetu zinavyosema.
Kwa wasukuma,wasafwa,wanyakyusa,wandali,wanyiha,waha,wajaluo,wajita,wakurya utapiga goti mama utake usitake ni utamaduni wao wanidhamu wala sio wa kuiga.

Na kwann usite kupiga magoti wakati ni kitendo cha kutii na kumpa heshima yake mwanaume ambaye utataka awe juu yako kukushika kwenye haya maisha? [emoji848]
 
Shem singidani na magoti wapi na wapi? si mwanamke wala mwanaume anayepiga goti.

Mtasimama tu mkivalishana shem, sana sana ke atabonyea kidogo….. kidogo sana. au asimame tu na yeye.
Watoto wa singida mnakuwaga watamu sana. Piga magoti kuongeza utamu wako kwa mwanaume.
 
Personal experience.

Nilipokaribia kulipa mahari n kuvalisha pete, tulizozana sana na mama chanja kuhusu hili. Alikomaa sana ntwange magoti, nkamwambia, mama la mama, ntasimama dede kama mboroh ya Johnny Sins lakn magoti haipigwi. Akasema na yeye atasimama, nkamwambia heri si shari.

Siku ilipofika nlikua na anko wangu mmasai pure, akanivuta pembeni akaniambia ukipiga magoti tunakuondoa kwenye ukoo.

Nkamwambia mjomba tuliza kipele, nshafanya maamuz waaay back.

Tumefika kwenye tendo bila ajizi nkakaza spinal cord, hapo hapo nkashangaa laaziz anapiga magoti mwenyewe na kutoa kidole pete iwekwe.

Hadi leo hua nashangaa wanaume au tuseme wavulana wanaopiga magoti.

Povu ruksa bladihenken!
Miaka ya 1980s & 1990s wanaume walikuwa hawapigi mogoti hovyo. Lakini hiki kizazi cha zedi, yaani Gen Z imekuwa ndiyo kama "fashion" na wengi hata hubwaga machozi.
 

Attachments

  • IMG_20240725_093142.jpg
    IMG_20240725_093142.jpg
    82.3 KB · Views: 4
Hakuna mahali nimebisha. Ninachosema ni kwamba mtindo wa kuvalishana pete..tena wa kupiga magoti sio wa kwetu bali ni wa wazungu. Tuwaachie utamaduni wao kama tunaona haupo sawa...sio kuanza kubishana nani apige goti na nani asipige.
Mimi kama mtu mzima mwenzako nimekuelewa vizuri sana. Watu wazima huwa tunaona suluhu ya mambo mapema sana bila kugombana wala kuleta tafrani.

Ni vile tu uko mbali na mimi, ungelikuwa karibu ungechezea busu la shavu aina ya 'i ravu yuu' halafu kisha ukaniletea kikombe cha kahawa na ugolo wangu kwenye kile kimkebe nimeweka uvungu wa kitanda pale chini tukae tujadili mambo mengine ya maisha.
 
Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.

Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.

Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.

Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.

My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.

Don't be simp.
Hii ni hoja ya msingi sana. Vijana wengi huwa wanafuata tu tabia za kuigaiga mitandaoni kwa trends na wasione madhara yake.
 
Kwa wasukuma,wasafwa,wanyakyusa,wandali,wanyiha,waha,wajaluo,wajita,wakurya utapiga goti mama utake usitake ni utamaduni wao wanidhamu wala sio wa kuiga.

Na kwann usite kupiga magoti wakati ni kitendo cha kutii na kumpa heshima yake mwanaume ambaye utataka awe juu yako kukushika kwenye haya maisha? [emoji848]
Sijapinga kupiga goti kwenye mambo mengine kama ni utamaduni wao.
SIdhani kama hayo makabila uliyoyataja wana utamaduni wa kuvishana pete tena kwa kupiga goti.
Ninachosema ni kwamba kuvishana pete kwa kupiga goto mwanaume ni utamaduni wa kizungu..sisi tunaiga halafu tunakuja kulazimisha mwanamke apige goti.

KUvalishana pete kwa kupiga goti ni utamaduni wa mzungu na utaendelea kuwa hivyo. Sisi tuache kuiga.

Mimi mchaga sijawahi fundishwa kupiga goti popote pale. Na haitatokea nikapiga goti hasa kwa mwanaume ninae mvulia chupi.
Labda mzazi...
 
Sisi kwetu unavalishwa tairi la gari kumaanisha kazi imeanza.
😅😅😅 hiyo imekaa vizuri. Sasa mvalishe tairi ya gari angalau uwe na IST, sio hata baiskeli huna
 
Back
Top Bottom