Usimpigie magoti mwanamke unapomvalisha pete

Usimpigie magoti mwanamke unapomvalisha pete

Men must wake up...!!

Unapiga magoti wakati kuna muhuni alikula bure!!!

Kama kuna mwanaume yeyote aliwahi kumpigia mwanamke magoti jipige kifua mara tatu kisha sema "Mimi nilikuwa Fala sana"
Acha kuwafundisha wenzio tabia mbaya 😹😹
 
Personal experience.

Nilipokaribia kulipa mahari n kuvalisha pete, tulizozana sana na mama chanja kuhusu hili. Alikomaa sana ntwange magoti, nkamwambia, mama la mama, ntasimama dede kama mboroh ya Johnny Sins lakn magoti haipigwi. Akasema na yeye atasimama, nkamwambia heri si shari.

Siku ilipofika nlikua na anko wangu mmasai pure, akanivuta pembeni akaniambia ukipiga magoti tunakuondoa kwenye ukoo.

Nkamwambia mjomba tuliza kipele, nshafanya maamuz waaay back.

Tumefika kwenye tendo bila ajizi nkakaza spinal cord, hapo hapo nkashangaa laaziz anapiga magoti mwenyewe na kutoa kidole pete iwekwe.

Hadi leo hua nashangaa wanaume au tuseme wavulana wanaopiga magoti.

Povu ruksa bladihenken!
.l
Naunga mkono
 
Tuweke rekodi sawa, ENGAGEMENT CEREMONY Siyo mambo yetu kabisaa, Sisi ukimpenda binti tuma mshenga kwao akikuelewa, hewaaa Unapata mke kanisani au msikitini mtavalishana Pete, kwa Wasabato Pete Siyo lazima.

Habari za mwanaume ambaye ni kichwa cha familia kumpigia magoti msaidizi wake HAIWEZEKANI

KWENU "MAFEMINISITI"😀
 
Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.

Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.

Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.

Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.

My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.

Don't be simp.
📌✅...
 
Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.

Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.

Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.

Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.

My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.

Don't be simp.
Inategemea ni mwanamke gani ila kama unakutana na Irene yule mrembo wa INSIDER MAN ni ruksa kupiga magoti.

NB: vyote ulivyoongea ni fact, haya mambo hayapo kwenye asili ya uafrika ila umagharibi ndio umeleta hizi tamaduni, ingawa wewe umeandika kwa hasira sana mkuu hahahaa.
 
Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.

Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.

Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.

Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.

My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.

Don't be simp.
Hii iwe applied kwa wakurya tu..wengine tunapiga hata nduru
 
Waafrika hatuna utamaduni wa kupiga goti wakati wa kuvishana pete. Iwe kwa mwanume au mwanamke. Huo sio utamaduni wetu. Kila mila ina utaratibu wake wa jinsi ya kuchumbia.
Tatizo letu kuiga tamaduni za watu..
 
Tuweke rekodi sawa, ENGAGEMENT CEREMONY Siyo mambo yetu kabisaa, Sisi ukimpenda binti tuma mshenga kwao akikuelewa, hewaaa Unapata mke kanisani au msikitini mtavalishana Pete, kwa Wasabato Pete Siyo lazima.

Habari za mwanaume ambaye ni kichwa cha familia kumpigia magoti msaidizi wake HAIWEZEKANI

KWENU "MAFEMINISITI"😀
Mafemisnist tupo..
Lakini pia suala la kumpigia goti mwanaume wakati anakuvisha pete ni mila ya wapi?
Tumecopy huko western halafu tunataka kuibadilisha mwanamke apige goti. Process ya kuchumbia kila mila ina taratibu zake. Haya mambo ya kuvishana pete yameanza juzi juzi tu hapa.
 
Kweli kabisaaa
That's is even against bible
Mwanaume ni kichwa
Mwanaume ni mtawala
Mwanaume ni kiongozi
Wanawake wanaopaswa kuheshimu waume zao
Kuolewa ni muujiza
Mwanaume anayepiga magoti ni dalili ya kuwa dhaifu kihisia
Hana sifa ya mtawala
Hisia zikimtuma atapigia mwanamke mwingine magoti


Yaani tumefikia stage mbaya sana wanaume,
Heri Basi wote msimame mvishane pete,,, sio mwanaume kupiga goti jamani
 
Back
Top Bottom