Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
asije akajitupa kwenye boatHuyo chalii siku hizi ana stress ile laana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asije akajitupa kwenye boatHuyo chalii siku hizi ana stress ile laana....
Kama mtu ni handsome ataambiwa na watu sio mama yake tu
Watu wenye mvuto wanapendelewa tokea wakiwa wadogo ukizaliwa na mvuto ni kama umerahisisha maisha
Unachozungumzia wewe ni kina mama kudekeza watoto wa kiume
😂😂😂😂 khaaaa!!!Atapata mtoto mzuri sana wa kike au kiume. Na mwenye akili za kutisha
Akhu! Yupo ninayempenda nimeona nitazaa naye tutoto turembo 🥰
Sijui umewaza nini mkuuShemeji yangu na ww handsome boy 🤣🤣
Sio rahisi haimaanishi kuwa hawapo''Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy anaakili nyingi, sio rahisi. Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy NI kichwa darasani. Ni ngumu sana. Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy anapesa nyingi au ni tajiri. Sio rahisi.''
Umeandika Uongo hapa.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mbona inasemekana Mizengo Pinda toka utotoni aliitwa Handsome na akawa waziri mkuu?
Atapata mtoto mzuri sana wa kike au kiume. Na mwenye akili za kutisha
Dogo siku hizi anakosa cha kuandika. Then analazimisha. Mambo ambayo hayapo.''Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy anaakili nyingi, sio rahisi. Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy NI kichwa darasani. Ni ngumu sana. Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy anapesa nyingi au ni tajiri. Sio rahisi.''
Umeandika Uongo hapa.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kwan ww sio handsome.?Sijui umewaza nini mkuu
kuna ile ya kusifia mara moja moja kwenye mitoko labda, hiyo unayoizungumzia wewe siielewi ifafanueKauli ya mama au baba kwa mtoto inanguvu kuliko za Watu Wengine.
najiona kama nina sura personal mkuuKwan ww sio handsome.?
kuna ile ya kusifia mara moja moja kwenye mitoko labda, hiyo unayoizungumzia wewe siielewi ifafanue
Mkuu labda useme wazazi wasiwalee watoto wao wa kiume kilegelege, ila hili la mzazi kwambia mtoto wake kua ni handsome, sio kigezo cha mtoto kuharibikiwa.Sio rahisi haimaanishi kuwa hawapo
S
Mkuu labda useme wazazi wasiwalee watoto wao wa kiume kilegelege, ila hili la mzazi kwambia mtoto wake kua ni handsome, sio kigezo cha mtoto kuharibikiwa.
Sasa mzazi gani asimsifie mwanae... labda awe wa kusingiziwa[emoji23].
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
''Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy anaakili nyingi, sio rahisi. Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy NI kichwa darasani. Ni ngumu sana. Sio rahisi kukuta kijana Handsome boy anapesa nyingi au ni tajiri. Sio rahisi.''
Umeandika Uongo hapa.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Sura gunzi..🙌😂😂😂Anazingua huyu mpare
Watu wenye mvuto wana urahisi wa kutoboa kuliko watu wenye sura gunzi
Sura ile ni handsome!Mbona inasemekana Mizengo Pinda toka utotoni aliitwa Handsome na akawa waziri mkuu?