Rajabmbisha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 316
- 530
- Thread starter
- #21
Hamn Cha mahari Wala nini anachotaka ndoa tuNenda kamlipie mwenzako mahari umuoe. Ndiyo maana mnarogwa nyie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamn Cha mahari Wala nini anachotaka ndoa tuNenda kamlipie mwenzako mahari umuoe. Ndiyo maana mnarogwa nyie.
Aliniambia nisipo muoa atachukua maamuz magum sjui Kama Ni kweliPole kwakwel bint wa watu sijui akijua itakuaje
Najiskia vibaya sina amaniNyie ndio mnafanyaga wanawake watoe hii kauli ya "wanaume ni mbwa tu".
Yani mtoto wa watu mpaka kazi ameacha akijua unamuoa?
Uadui wapi bwana nyie ndio mnafanya mambo yawe magumuWashazoea kutengeneza uadui na wanawake
Na wanawake wote ni kenge tuuNyie ndio mnafanyaga wanawake watoe hii kauli ya "wanaume ni mbwa tu".
Yani mtoto wa watu mpaka kazi ameacha akijua unamuoa?
Dah isee Nina hofuKuna swahiba wangu alirogwa had leo ni chizi kwasabb km hio yako
Hakuna madhara yoyote ni safi na salamaNi kweli lakini hii njia ina madhara makubwa Sana,nimejifunza
Jiandae Kwa hekahekaAliniambia nisipo muoa atachukua maamuz magum sjui Kama Ni kweli
Ni mzuri tu Bado mdog miaka 20Hali yako naielewa na kinachokuumiza zaidi ni kumuuzima moyo yake kwa uongo wako. Ila jua ya kwamba... iwe isiwe lazima aumie ndo apone. Heri aumie mapema kuliko aumie muda ukiwa umeenda. Pia kama hana kasoro we ishi naye kwa sababu sisi binadamu huwa tuna watu wetu kichwani wenye vigezo fulani na umbo fulani tunaowawaza tuwapate tuwe nao maishani. Lakini hatujui kuwa unaweza ishi na mtu yoyote duniani na maisha yakawa mazuri tu. Hivyo narudia kama yupo wastani tu we ishi naye na mzae baadaye utanielewa.
Bado hayajakukuta mwanzoni nilikuwa naona sawa lakin sashiv Ni mmajutoHakuna madhara yoyote ni safi na salama
Na kiba100 hicho,moto unao🤣🤣Uadui wapi bwana nyie ndio mnafanya mambo yawe magumu
Ni bahati mbaya tu kwako tuseme sawa na ajali sio kila dereva atapata ajaliB
Bado hayajakukuta mwanzoni nilikuwa naona sawa lakin sashiv Ni mmajuto
Uongo, hakuna mwanamke mjinga hivi.
Siwez kukulazimisha uamini laknUongo, hakuna mwanamke mjinga hivi.
Muongo tu wewe mtu yeyote akisoma nyuzi zako atakugundua.Ea
Siwez kukulazimisha uamini lakn