AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Mwanasiasa akiingia ndani na akakwambia nje mvua inanyesha toka kahakikishe...
Mwanasiasa akisema anakupenda... Geuza kwa upande wake kinyume...
Akisema amekufanyia hivi au vile... Chunguza vizuri.. Kuna nini baadae...
Mkikaa baadae mkatulia kwenye akili zenu mtajua tumepigwa changa la macho...
Nakumbuka ilitangazwa faini za bodaboda zimepungua kutoka 30,000 mpaka 10,000...watu walishangilia kisiasa...
Walipokaa wakatulia wakafikiri upande wa pili... Wakakumbuka. HUWEZI KOSEA KILA SIKU UKAKAMATWA UTOE FAINI... ILA MAFUTA UTAHITAJI KILA SIKU ILI CHOMBO KITEMBEE. HUKO NDIO MMEPIGWA NA KITU KIZITO...
SIIPENDI SIASA. SIWAPENDI WANASIASA. NA SIWAAMINI WANASIASA.
WANASIASA WANIACHE NA MAISHA YANGU NA MOLA WANGU. WAO WAJILIE TU DUNIA YAO. ILA WAKUMBUKE KUWA. HIZO PESA WANAZODHULUMU WATU ZITAWAACHA AU WAO WATAZIACHA HIZO PESA.
KUNA MTU ALIKUFA HATA MSHAHARA WAKE HAKUUTUMIA...
Mwanasiasa akisema anakupenda... Geuza kwa upande wake kinyume...
Akisema amekufanyia hivi au vile... Chunguza vizuri.. Kuna nini baadae...
Mkikaa baadae mkatulia kwenye akili zenu mtajua tumepigwa changa la macho...
Nakumbuka ilitangazwa faini za bodaboda zimepungua kutoka 30,000 mpaka 10,000...watu walishangilia kisiasa...
Walipokaa wakatulia wakafikiri upande wa pili... Wakakumbuka. HUWEZI KOSEA KILA SIKU UKAKAMATWA UTOE FAINI... ILA MAFUTA UTAHITAJI KILA SIKU ILI CHOMBO KITEMBEE. HUKO NDIO MMEPIGWA NA KITU KIZITO...
SIIPENDI SIASA. SIWAPENDI WANASIASA. NA SIWAAMINI WANASIASA.
WANASIASA WANIACHE NA MAISHA YANGU NA MOLA WANGU. WAO WAJILIE TU DUNIA YAO. ILA WAKUMBUKE KUWA. HIZO PESA WANAZODHULUMU WATU ZITAWAACHA AU WAO WATAZIACHA HIZO PESA.
KUNA MTU ALIKUFA HATA MSHAHARA WAKE HAKUUTUMIA...