Usimuamini sana mtoto wa kike, kwenye mahusiano kuwa na kiasi

Mkuu Sasa sisi tusiotulia sehemu moja kwa mihangaiko mahusiano inabidi tupige chini tuu.
Hapana.

Lea mapenzi yako na mwenzi wako kwa nguvu zote.

Unapokua unaishi mbali na mpenzi wako inabidi mtafute namna mpya ya kuexpress hisia.
 
Wanasema NO ATTACHMENT, JUST SEX
 
Last edited:
Na akiona umempotezea jumla jumla atatamani kukufanyia kitu cha kukudharilisha
Mimi huwa na close mlango kabla yake. Na ushahidi namuonyesha ninao. Na marafiki na ndugubzake nawafaham, so akidhubutu kumwaga mboga, namwaga ugali na sahani natupa kuleeeee.

Anabaki amekuwa mdogo kama piritoni.
 
Umekutana na kiboko ya 'Heavy weight!"
Ila pongezi kwa kujinasua.
Umepima mkuu?Maana ndilo la muhimu.
Afya.
Hhaha mkuu baada ya kuona ilo suala la foleni ilibidi nichukue uamuzi wa fasta kuona nipo kwenye kikosi cha mpira. Nikachukua bioline (hiv test kit) na kujipima mwenyewe chumbani.
Nipo safi ndomana nikapata hata nguvu ya kuliongelea hili apa.
 
Kwanini mwanamke anauma zaidi kwani mwanamke hana moyo?

Toka zamani mwanaume ameumbwa kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja na mwanamke kapewa moyo wa kuvumilia. Tamaduni nyingi duniani zilisha practice hii kitu lakin the other way around haijawahi kutokea ama kama ilitokea basi lilikuwa ni tukio la kipekee sana(rejea Kenya)
 
ndugu hope huyo manzi ni modo si ndio. mwembamba
 
Haya sawa kwasababu Mungu alimuumba Adam na kina hawa wengi
 
Du umeandika kwa mtirirko mzuri sana .hii siyo kamba ,ila we jamaa una element za uvumilivu sana.utafika mbali mkuu take it from me. Yaani mwanamke aninyamazie week halafu nendelee kumtafuta huyo labda tumefunga ndoa na tuna watoto.lakini hawa wengine akizingua tu.unadelete namba yake una save ya mwingine
 
Imeandikwa ishi na mwanamke kwa akilii ila mabazazi wanajua shimo tu na kuchovya

Usiseme unamuamini mwanamke hata kama unamtania utaliaaaaa

Ila wapigweeeee tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…