Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 885
- Thread starter
-
- #201
Kweli aisee nishajifunza kitu. Siwezi kumng'ang'ania tena mtoto wa kike akimute na mimi na mute mazimaDu umeandika kwa mtirirko mzuri sana .hii siyo kamba ,ila we jamaa una element za uvumilivu sana.utafika mbali mkuu take it from me. Yaani mwanamke aninyamazie week halafu nendelee kumtafuta huyo labda tumefunga ndoa na tuna watoto.lakini hawa wengine akizingua tu.unadelete namba yake una save ya mwingine
Ni kweli mkuuImeandikwa ishi na mwanamke kwa akilii ila mabazazi wanajua shimo tu na kuchovya
Usiseme unamuamini mwanamke hata kama unamtania utaliaaaaa
Ila wapigweeeee tu
Ahsante sana mkuu.Pole Sana mkuu
Haya sawa kwasababu Mungu alimuumba Adam na kina hawa wengi
Mkuu usiamini sana hawa watoto wa kike bongo movie sana. Anaweza kukuigizia ili usijue anayoyafanya nyuma ya pazia.ila kiukwel me nina dem wangu ananipenda hadi namuonea huruma,, kuna siku nilipata safari kwenda mkoani pamoja na kwamba nilimwambia nikienda simalizi week lakini wakati namuaga alimwaga chozi huku akinitaka nisiondoke alilia sana ila mwesho wa siku alikubali niondoke ila nilimuacha akiwa analia akidai awez kukua mbali na mm
Wow!! Hapana sio mimi,Japo nilisoma Physics O-level & A-LevelHuu msemo.. Alishawahi kuusemaa mwalimu wangu wa physics.... Ni ww nini?
Kwahiyo mwanaume yeye huwa hapumziki? Muda wote yupo kazini ? Mbona kila siku ke wanalalamika hakuna kitu ni makopa tu?Pamoja na hayo, ndiyo mana biologically mwanamke huwa na mda anapumzika kama kipindi cha mimba au menstruation cycle , ila mwanaume siku zote yuko online.
MbegeDuh Mikate ya kikinga na vinywaji utatumia nini apo mana kukata najua litatumika panga
Hapo upo kiasili zaidi mkuu. Nikutakie birthday njema mapema kabla foleni haijawa kubwaMbege
"Any wife who is trusting her husband is a fool"[emoji817]pc"Any husband who is trusting his wife is a fool" Nina Lambert
Mkuu usiamini sana hawa watoto wa kike bongo movie sana. Anaweza kukuigizia ili usijue anayoyafanya nyuma ya pazia.
Ewaaaa...kiasili zaidi..ahsante mwayaHapo upo kiasili zaidi mkuu. Nikutakie birthday njema mapema kabla foleni haijawa kubwa
[emoji3] [emoji3]"Any wife who is trusting her husband is a fool"[emoji817]pc
Zawadi itakuja siku yenyewe ya tukioEwaaaa...kiasili zaidi..ahsante mwaya
Naanza kupokea zawadi lakini
Huuuh!! Pre birthday giftZawadi itakuja siku yenyewe ya tukio
Okay ni zawadi gani unapendelea kuipokea kabla ya sikukuu yakoHuuuh!! Pre birthday gift
Kwahiyo mwanaume yeye huwa hapumziki? Muda wote yupo kazini ? Mbona kila siku ke wanalalamika hakuna kitu ni makopa tu?