Usimuamini sana mtoto wa kike, kwenye mahusiano kuwa na kiasi

Usimuamini sana mtoto wa kike, kwenye mahusiano kuwa na kiasi

Hili la kudukua simu nalitamani Ila nilishashindwa,nisaidieni wakuu
Utakufa kwa mshtuko mkuu, mtu kama humpend au umemchoka muache aende zake...lkn sio kuchunguza visivyochunguzika unakua kama unamtafutia sababu.
 
Mimi na slogani yangu ambayo imenipatia mafanikio si haba,na ninaendelea kuiboresha zaidi.

"No Attachment, Just sex"

Nawatafuna kishanawatema kama bazoka.

Callme Playboy Mwema.
What goes around comes around mkuu, usijifu kwa hilo sababu mwisho wako utakuwa wa majuto sana.
 
Kwenye mapenzi kila mmoja ni mwongo kwa namna yake ...kikubwa ni kuficha uwongo usiwe sumu



Ila shukuru huyo demu alikuwa hataki kukuacha na maumivu ya kupigwa chaga..unge connect dot ungekuwa umeshaachana nae safi kabisa
Umenena vema mkuu
 
Utakufa kwa mshtuko mkuu, mtu kama humpend au umemchoka muache aende zake...lkn sio kuchunguza visivyochunguzika unakua kama unamtafutia sababu.
Ndio natafuta kujiridhisha maana kubadilika mkuu, ya nini kupotezeana muda bora ujue moja usepe,plz kama unajua nipe mautyndu
 
Mimi nilimchunguza wasap na nikagundua kila kitu na akapigiwa simu akajiandaa mi nipo kitandani akanambia anaenda bank akajiandaa akaondoka zake. Akiwa njiani alituma bonge la sms kuwa NIKOME KABISA KUSHIKA SIMU YAKE NA KUMUHARIBIA UHUSIANO WAKE NA WATU WA KARIBU iliniuma sanaaa sikujibu lolote. Nilikuja kuona kajiengua mwenyewe tu
 
Ndio natafuta kujiridhisha maana kubadilika mkuu, ya nini kupotezeana muda bora ujue moja usepe,plz kama unajua nipe mautyndu
Hapana mm sikushauri hata mkuu sababu sihitaji majuto aje kuwa mjukuu kwako
 
Haya mi yalishanikuta ila mwisho wa siku nikaona ni upuuzi kuumiza kichwa kwa kumfikiria mtu asiyenifikiria na wala sikujua kama ntakutana nae so nikaanza kukaa kimya ,nikiwa mpweke naingia zangu bar naagiza mzinga wangu earphone zangu maskio taratiiibu najiburudisha siku inaisha
 
Back
Top Bottom