Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kumpenda mtu usiyemuamini mkuuUnaanzaje sasa kumwamini mwanamke?
Mimi nawapenda sana wanawake ila kuwaamini hapana na sitokuja kuwaamini..
Unawezaje kupenda bila kuamini mkuu ?Siku hizi mapenzi tulishaacha kuamini, unapenda tu ila sio kuamini
Inawezekana kabisa ukishakuwa pro kwenye hizi mamboUnawezaje kupenda bila kuamini mkuu ?
Bora mkuu umenena vema sio kuegamia upande mmojaHata wanawake nao wanasema usimuamini mwanaume na uwe na kiasi....
Women lies, men lies
Tupo chama kimoja.Mimi na slogani yangu ambayo imenipatia mafanikio si haba,na ninaendelea kuiboresha zaidi.
"No Attachment, Just sex"
Nawatafuna kishanawatema kama bazoka.
Callme Playboy Mwema.
Utakufa kwa mshtuko mkuu, mtu kama humpend au umemchoka muache aende zake...lkn sio kuchunguza visivyochunguzika unakua kama unamtafutia sababu.Hili la kudukua simu nalitamani Ila nilishashindwa,nisaidieni wakuu
What goes around comes around mkuu, usijifu kwa hilo sababu mwisho wako utakuwa wa majuto sana.Mimi na slogani yangu ambayo imenipatia mafanikio si haba,na ninaendelea kuiboresha zaidi.
"No Attachment, Just sex"
Nawatafuna kishanawatema kama bazoka.
Callme Playboy Mwema.
Aminia kamanda,Sisi Ndio sisi wengine mafisi.Tupo chama kimoja.
Umenena vema mkuuKwenye mapenzi kila mmoja ni mwongo kwa namna yake ...kikubwa ni kuficha uwongo usiwe sumu
Ila shukuru huyo demu alikuwa hataki kukuacha na maumivu ya kupigwa chaga..unge connect dot ungekuwa umeshaachana nae safi kabisa
Ndio natafuta kujiridhisha maana kubadilika mkuu, ya nini kupotezeana muda bora ujue moja usepe,plz kama unajua nipe mautynduUtakufa kwa mshtuko mkuu, mtu kama humpend au umemchoka muache aende zake...lkn sio kuchunguza visivyochunguzika unakua kama unamtafutia sababu.
Sidhani labda kama mmeamua kuigiziana kwa kweliInawezekana kabisa ukishakuwa pro kwenye hizi mambo
Suala la kumpenda mtu ni tofauti na kumuamini ni tofauti kabisa.
Full stop.Hata wanawake nao wanasema usimuamini mwanaume na uwe na kiasi....
Women lies, men lies
Hapana mm sikushauri hata mkuu sababu sihitaji majuto aje kuwa mjukuu kwakoNdio natafuta kujiridhisha maana kubadilika mkuu, ya nini kupotezeana muda bora ujue moja usepe,plz kama unajua nipe mautyndu