Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,059
Hapana mkuu, nikijiridhisha namwacha aende kwa amani kabisa, sijawahi na sitarajii kuanzisha timbwili hata kama nipo kwenye ndoa, sasa mkuu bado uchumba tu naona maluweluwe si bora nijiridhishe mapema kabla sijamwita majutoSi unataka kumdukua mtu so hapo lazima timbwili litokee