Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Jamaa kapigiwa ngumi na mtu aliyemleta kaziniUko sahihi kabisa
Jaribu utaona jinsi inavyokuwaInakuwaje ndugu akuandame wewe tena kazini? Tena kazi umempa wewe!
Hata ofisi nyingine ishanitokea siwezi thubutu kila mtu ajipange kivyakeHii ni nature na hakika,
Usijaribu kujionyesha kuwa u mwema au u mtoto wa mjini kwa kumuunganishia mtu wa karibu nafasi ya kazi kazini kwako.
Mtavurugana mpaka mchanganyikiwe.
Hii nimeiona kazini kwa watu kadhaa nami yalitaka yanitokee sema nikapanchi.
Mtafutie kazi ndugu au rafiki katika ofisi nyingine kabisa hapo mtamaliza salama.
Usiseme sijakuambia
Wakinga ni biashara zao.Inategemea na ndugu,mbona seheme zingine wanapeana nafasi ndugu tu,
Mfano kwenye biashara,wakinga wapo vizuri wanainuana ndugu.
Tunamatatizo ya uaminifu last year i did to my own young bro,,,, Alichoenda kufanya sasa kwenye ofice za watuu daaah daily naenda kumtetea mwishowe nikaona nisiharibu reputation yangu.Hii ni nature na hakika,
Usijaribu kujionyesha kuwa u mwema au u mtoto wa mjini kwa kumuunganishia mtu wa karibu nafasi ya kazi kazini kwako.
Mtavurugana mpaka mchanganyikiwe.
Hii nimeiona kazini kwa watu kadhaa nami yalitaka yanitokee sema nikapanchi.
Mtafutie kazi ndugu au rafiki katika ofisi nyingine kabisa hapo mtamaliza salama.
Usiseme sijakuambia
Ukafanya nini mwisho?Tunamatatizo ya uaminifu last year i did to my own young bro,,,, Alichoenda kufanya sasa kwenye ofice za watuu daaah daily naenda kumtetea mwishowe nikaona nisiharibu reputation yangu.
Nikawa mkali tuu, nikawaambia kama hazingatii taratibu/Ethics za kazi yake waamue tuu kutokana na taratibu za ofice yao na nisiitwe tena sijui mdogo wako kafanya nini mkuu njoo....Ukafanya nini mwisho?
natafuta mtu mwenye diploma au degree ya electrical and electronics sehemu ya kazi ni iringa 0612188072Hii ni nature na hakika,
Usijaribu kujionyesha kuwa u mwema au u mtoto wa mjini kwa kumuunganishia mtu wa karibu nafasi ya kazi kazini kwako.
Mtavurugana mpaka mchanganyikiwe.
Hii nimeiona kazini kwa watu kadhaa nami yalitaka yanitokee sema nikapanchi.
Mtafutie kazi ndugu au rafiki katika ofisi nyingine kabisa hapo mtamaliza salama.
Usiseme sijakuambia