Usimuunganishie ndugu, rafiki au mtu wa karibu nafasi ya kazi ofisini kwako

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hii ni nature na hakika,

Usijaribu kujionyesha kuwa u mwema au u mtoto wa mjini kwa kumuunganishia mtu wa karibu nafasi ya kazi kazini kwako.

Mtavurugana mpaka mchanganyikiwe.

Hii nimeiona kazini kwa watu kadhaa nami yalitaka yanitokee sema nikapanchi.

Mtafutie kazi ndugu au rafiki katika ofisi nyingine kabisa hapo mtamaliza salama.

Usiseme sijakuambia
 
Hata ofisi nyingine ishanitokea siwezi thubutu kila mtu ajipange kivyake
 
Inategemea na ndugu,mbona seheme zingine wanapeana nafasi ndugu tu,

Mfano kwenye biashara,wakinga wapo vizuri wanainuana ndugu.
 
Inategemea na ndugu,mbona seheme zingine wanapeana nafasi ndugu tu,

Mfano kwenye biashara,wakinga wapo vizuri wanainuana ndugu.
Wakinga ni biashara zao.
Nazungumzia kuunganisha kwenye ofisi ili awe staff kama ulivyo.
Biashara yako akizingua si unamfukuza within a minute
 
Tunamatatizo ya uaminifu last year i did to my own young bro,,,, Alichoenda kufanya sasa kwenye ofice za watuu daaah daily naenda kumtetea mwishowe nikaona nisiharibu reputation yangu.
 
Tunamatatizo ya uaminifu last year i did to my own young bro,,,, Alichoenda kufanya sasa kwenye ofice za watuu daaah daily naenda kumtetea mwishowe nikaona nisiharibu reputation yangu.
Ukafanya nini mwisho?
 
Ukafanya nini mwisho?
Nikawa mkali tuu, nikawaambia kama hazingatii taratibu/Ethics za kazi yake waamue tuu kutokana na taratibu za ofice yao na nisiitwe tena sijui mdogo wako kafanya nini mkuu njoo....
 
natafuta mtu mwenye diploma au degree ya electrical and electronics sehemu ya kazi ni iringa 0612188072
 
Kuna ile principle wanasema mambo ya ofisini yabaki ofisini na nyumbani yabaki nyumbani.

Sijjui inakuaje kama umekutana na mkeo/mmeo kazini.

Inabidi mmoja ahame tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…