Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

Neno tuachane ndiyo lililokuangamiza kwanini ulitamka hilo neno?kumbuka maneno huumba
listen bro kuna mda unakereka adi unajikuta ushasema kwa hasira kitu nimejifunza ili usiwe na hasira za karibu katika mapenzi uwe na wanawake wengi
 
We jamaa bwana, kuna siku utajicheka mwenyewe kwa hili. Pole sana.
mkuu najua unachokiwaza lkn km nilivosema ni stor ndefu sana tumepitia mengi mno ni ngumu kumuweka uyu dada km danga just imagine naweza ata kumshtukiza na simkuti na mtu zaid yeye mwenyewe tu pale anapoish tunakutana mara nying tu sijawah mwona na zile zogo sijui tangulia
 
Hayo mapenzi ya kutafutana kama unaandika thesis statement ni Nini, kapata wa kanisani, tafuta mwingine
 
Kwa kifupi sana DAWA CHUNGU NDIO TIBA usikaze shingo achana nae na umshkru sana Mungu kwa hilo alafu mpe muda utaongea ukikaza shngo atazid kukuona boya na kukuendesha anavyotaka koz anajua unampenda sana
upo sahihi kwa kiasi fulan ila mbona nshammwaga mara nying tu kila nikimuacha lazima aje kitaa kunisaka kuna siku alikaa nje masaa kibao na mm sikuwepo baada washikajiniliporud wakaja niambia
 
mkuu nimeandika kwa haraka sana sababu niko fluctuacted na siku ya leo sifanyi chochote zaid ni kupumzika tu nisamehe kwa mwandiko nimekuja huku kusaka faraja na wengine wataadithia km wamewah kutana na kitu km hich
Hizi lugha za watu tunafosi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti "Fluctuacted"
 
Kumbe ...ebu nipe ujuzi ni signals gani zinaonyesha kuwa anataka
kuna strategy inaitw divide an conquer aisee anasafisha njia inakuwa sagi km mbele kisha giza linawekwa totoro then unbadilishiwa njia bila kujua
 
kuna strategy inaitw divide an conquer aisee anasafisha njia inakuwa sagi km mbele kisha giza linawekwa totoro then unbadilishiwa njia bila kujua
Dah sasa ni mwendo wakugegedana mchana kweupeee....sije unganishwa na mtandao wa shetani bure
 
Wewe ni MTOTO SANAAA kwenye hii michezo.najua uta oanic na kuona umetukanwa il awewe bado kinda mnooo.
Umia umia kidogo kabola hujaoa,ndo ushauri wangu
 
Dah sasa ni mwendo wakugegedana mchana kweupeee....sije unganishwa na mtandao wa shetani bure
ngumu kujua mkuu labda itokee ushawah muingilia mwanamke TIGO ivo inakuwa rahisi kujua km sasa upo UK au kwa mpalange niliwekaga uzi humu kuelezea io kitu paliwaka apa ma admin waliufuta fasta nitatafuta lughaa nzur kuelezea ayo mambo mm niliwah kupewa bila kujua baadae niliambiwa vitu na mchizi wangu fulan nikachunguza aiseee dah adi huruma yani unakula tigo bila kujua dah ila sikufich TIGO raha sana sema sio vzr
 
ngumu kujua mkuu labda itokee ushawah muingilia mwanamke TIGO ivo inakuwa rahisi kujua km sasa upo UK au kwa mpalange niliwekaga uzi humu kuelezea io kitu paliwaka apa ma admin waliufuta fasta nitatafuta lughaa nzur kuelezea ayo mambo mm niliwah kupewa bila kujua baadae niliambiwa vitu na mchizi wangu fulan nikachunguza aiseee dah adi huruma yani unakula tigo bila kujua dah ila sikufich TIGO raha sana sema sio vzr
Aisee kumbe tamuuu ndio maana wajuba wanafukua mitaro.
Ila tofauti inakuwepo bwana
 
Aisee kumbe tamuuu ndio maana wajuba wanafukua mitaro.
Ila tofauti inakuwepo bwana
Trust me huwezi jua otherwise demu mchafu bcoz kwanza yale aeneo yapo very close na atakubadilishia ukiwa katika style ambazo zipo kichwa chako na chake kinaangaliana not dog style
 
A relationship which needs a lot of hardwork

Mshukuru Mwenyezi Mungu, anakuepushia mengi makubwa.

Funga ukurasa,
Pata muda wa kuponya majeraha
Anza upya.
 
Back
Top Bottom