Usingekuwa na maringo ungekuwa umeolewa muda mrefu, ona sasa unajuta hata wa kukutongoza tu hakuna na umri umesonga

Usingekuwa na maringo ungekuwa umeolewa muda mrefu, ona sasa unajuta hata wa kukutongoza tu hakuna na umri umesonga

Hii ya kuumwa kila wiki ni ugonjwa gani mtoa mada anauzungumzia maana kuna manzi yaani muda mwingi anaumwa na haulewi nini
Yapo magonjwa mengi yakiwemo ya kurithi na kutokurithi ambayo muhanga hapitishi zaidi ya wiki bila malalamiko ya kuumwa. Mfano matatizo ya upumuaji (athma), mfumo wa uzaz, UTI sugu, n.k
 
Yapo magonjwa mengi yakiwemo ya kurithi na kutokurithi ambayo muhanga hapitishi zaidi ya wiki bila malalamiko ya kuumwa. Mfano matatizo ya upumuaji (athma), mfumo wa uzaz, UTI sugu, n.k
Basi huyo atakuwa ana tatizo la mfumo wa uzazi maana anakuwa analalamika kuhusu tumbo
 
Mtoa mada humu JF hakuna wanawake chipukizi, sijui unamshauri nani, humu kuna misingle maza, na waliotoa mimba zisizo na idadi, na wengine utakuta mimalaya iliyoshindikana, we demu yupo JF, huogopi.
 
Hiki unachosema ni sahihi, nimeshashuhudia kwa mdogo wangu mmoja wa kike, kala sana ela za wanaume wa watu while alikuwa na mshahara wake wa laki 6.5.

Sasa hivi kila kijana anayemfata hamgusii ndoa, yupo 29. Miaka miwili nyuma na kuendelea alikuwa hashikiki.
dah inatia huruma sana, inasikitisha sana, inatia uchungu mno kwakweli dah 🐒
 
Pole kwa yaliyokukuta
1728226604319.jpg
 
Mtoa mada humu JF hakuna wanawake chipukizi, sijui unamshauri nani, humu kuna misingle maza, na waliotoa mimba zisizo na idadi, na wengine utakuta mimalaya iliyoshindikana, we demu yupo JF, huogopi.
sifahamu,
ila ujumbe wangu ni wa jumla kwakweli, na itapendeza zaidi kuwaelezea wahusika walengwa ambao huenda wengi wao hawamo humu jukwaani 🐒
 
Halafu badala ya kwenda kwenye nyumba za ibada kuomba Mungu na kuombewa uondokane na hiyo Roho ya maringo, kiburi, hasira na dharau, eti unataka uombewe upate mume.

Mume gani atakuoa ukiwa mbishi na mwenye kiburi namna hiyo hata kama ni mzuri wa sura? Jiheshimu, vaa mavazi ya kistaarabu. Omba Mungu akusaidie kudhibiti ulimi wako na kauli chafu za kutisha na kuogofya wanaume.

Halafu jambo la mwisho la muhimu sana, epukeni na kujizuia kutoa siri zote za ufalme wenu hata kama ni za kweli au uongo. Mnaumwa na kuugua sana. Kila wiki unaumwa, ni mwanaume gani ataoa mgonjwa?

Chipukizi chukueni hilo.

Chunga sana hiyo tafadhali, itakusaidia 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mheshimiwa umejiandikisha?
 
Kitu pekee ambacho wanawake hawakijui na wakikijua watakua wenye amani ni kua , mwanamme huuchoka uchi wako baada ya siku 90, baada ya hapo kinachompa hamu ya kua na wewe ni tabia zako , hizo zitaamua atafute mwanamke mwingine au iweje , na anaweza kua na wewe kumbe ashakuacha kitambo Sana , mwanaume anaweza kuomba Hadi msamaha lakini hua ni siku 21 ushatoka kichwani mwake
 
Hii kweli kabisa kuna Dada enzi zake alikuwa pini hasaaa na alikuwa anatoka na Wanaume wenye hela tu, Wenye nia aliwaona kama takataka eti sasa hivi anajibebisha mpaka kwa mtu kama Mimi 😃😃😃 na ukizingatia tayari ni single mother na Mtoto wake wa kwanza Baba yake alishakufa, mtoto wa pili alizaa na Msanii fulani ambaye naye kwa sasa kashafulia. Watia nia wa enzi zile bbado wanavimba tu yaani anasalimia kila Mwanaume hata Vijana wa 20's na yeye hapo alipo ana 39.
inasikitisha sana, inafedhesha sana na kwakweli inasononesha sana dah!

39yrz hata make-up inaanza kugoma na kudunda 🤣
 
Kitu pekee ambacho wanawake hawakijui na wakikijua watakua wenye amani ni kua , mwanamme huuchoka uchi wako baada ya siku 90, baada ya hapo kinachompa hamu ya kua na wewe ni tabia zako , hizo zitaamua atafute mwanamke mwingine au iweje , na anaweza kua na wewe kumbe ashakuacha kitambo Sana , mwanaume anaweza kuomba Hadi msamaha lakini hua ni siku 21 ushatoka kichwani mwake
Hiki ulichokiandika hapa kilitakiwa kifunguliwe mada yake umeandika jambo la msingi sana
 
inasikitisha sana, inafedhesha sana na kwakweli inasononesha sana dah!

39yrz hata make-up inaanza kugoma na kudunda 🤣
Umeongea kweli kabisa ndugu, kuna pisi moja nilikutana nayo na iliniambia iko na 36 imeji make up lakini hiyo make- up ilikuwa imemkataa kabisa na kwenye status yake kuna siku ilimpost mwanae. Alafu ni member ya humu humu, inavyojiachia humu na ilivyo ni mbingu na ardhi kabisa. Kimsingi Mwanamke maisha ya mtandao na maisha halisi ni tofauti sana. Maisha halisi yamejaa Uchungu, tabu na huzuni sana 🤦‍♂️
 
Back
Top Bottom