Pre GE2025 Usingeweza kumkuta Hayati Magufuli akiacha upuuzi huu wa tuzo zisizo na maana kufanyika

Pre GE2025 Usingeweza kumkuta Hayati Magufuli akiacha upuuzi huu wa tuzo zisizo na maana kufanyika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yeye mwenyewe alipewa tuzo ya kupambana na corona na alishiriki kikamilifu
 
"Na Mimi nataka niseme watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
Huyo muuaji wako umemkumbuka wewe. Wivu wa kike unawasumbua. Kwa hiyo akatae kupokea zawadi, kwamba anawaogopa wehu km wewe? Zawadi ni pongezi
 
Pamoja na yote umeshawahi kumuona akifanya huo upuuzi? Ok, tuachane na huyo, Mkapa? Nyerere? Wameshawahi kuforce kujiita Phd?
Nimesoma mahali kuwa hizi tuzo huwa zinatolewa huko NYC, tena wakati wa mikutano ya UN.

Nimeambiwa ni sisi ndio tumeomba tupewe hiyo tuzo, tena tupewe huku Tanzania kama sehemu ya kampeni kwa ajili ya uchafuzi mkuu hapo Octoba, na la ajabu zaidi ni eti tumegharamia sisi gharama zote kwa ajili ya kupokea hiyo tuzo!
Mpaka tufikie uchafuzi mkuu, tutashuhudia mengi sana.
 
Nimezungumzia hii ya kuitwa dk Kikwete, dk msukuma, dk Samia.
Sio kila tuzo na shahada kuwa ni udaktari.
Yawezekana Nyerere na mkapa walipewa tuzo na shahada kwa mambo mengine ila sio udaktari.
Huna ulijualo!
 
Kwa vile siyo Mtanganyika huyu, nguvu kubwa anapeleka kwao Zanzibar.CCM wanatukosea sana Watanganyika kwa kuendelea kumkumbatia Samia
Leo nimemsikia mheshimiwa mmoja wa bara hata jina lake nimelisahau, anajivunia flyover na barabara za pemba na unguja, kwamba zinaota kama uyoga, mikeka inatandikwa, hivyo mama mi 5 tena
 
Rais wa kwanza kupewa udaktari wa heshima ni mh Jakaya.
Udaktari wa Magufuli ulikuwa wa darasani kama walivyo wasomi wengine lakini kwasasa ambiwa hata mbunge msukuma mwenye elimu ya la darasa la saba na yeye ni Dr Joseph Msukuma.
Hii ni ajabu kwelikweli itabidi na sisi humu jf tuangalie baadhi ya watu ambao wametoa michango mingi humu jamii forums tuwape udaktari wa heshima.!
MIMI NAPENDEKEZA JINA LA MKUU LIFUTIKE TU HUMU, BADALA YAKE TUITANE DOKTA! @Dr chifu mkuu:
 
Huyo uliyemtaja ndiyo alikuwa mpenda sifa kuliko huyu.
"Hapa kwetu (Tanzania) JPM bado anaongoza kura za maoni mioyoni mwa watanzania siasa sio uadui ukweli usemwe" nukuu ya Askofu Benson Bagonza katika ukurasa wake wa Facebook..
 
Back
Top Bottom