Usingizi nakosa kwa ajili yake

Jidanganye na hizo avatar wengine ni madume. Na baadhi ya member wanajitosa pm kuwatongoza wengine wanawaandikia nyuzi kama hivi kumbe ni njemba mwenzie.
Kama ni mwanaume huyo ni tapeli, atakupiga vizinga na utamtumia nauli na asije.
 
Unakosaje usingizi Sasa au unatumia kahawa sana
 
Amka sasa kabla ujajinyea hiyo sauti unayosikia kwamba ni muda wa kuchimba dawa sio halisi ni ndoto ooh shauri yako.
 
ID zake zote anapewa ban ila hakomi anafungua mpya kila siku, na alivyo mshamba anafungua ID majina hayatofautuani sana kazi yake ni kutukana tuu. Mwezi huu tuu hii ID ya 3 anakula ban
kwanini anakula sana ban?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…