Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

Jidanganye na hizo avatar wengine ni madume. Na baadhi ya member wanajitosa pm kuwatongoza wengine wanawaandikia nyuzi kama hivi kumbe ni njemba mwenzie.
Kama ni mwanaume huyo ni tapeli, atakupiga vizinga na utamtumia nauli na asije.
 
wakuu Salam✋

nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana

nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.

natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.

I love you so much money penny ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Unakosaje usingizi Sasa au unatumia kahawa sana
 
Amka sasa kabla ujajinyea hiyo sauti unayosikia kwamba ni muda wa kuchimba dawa sio halisi ni ndoto ooh shauri yako.
 
ID zake zote anapewa ban ila hakomi anafungua mpya kila siku, na alivyo mshamba anafungua ID majina hayatofautuani sana kazi yake ni kutukana tuu. Mwezi huu tuu hii ID ya 3 anakula ban
kwanini anakula sana ban?
 
Back
Top Bottom