Usingizi nakosa kwa ajili yake

wivu utakuua, nani kakuambia mimi sio mzuri!
mwache mtoto aandike, nimeshamwambia nitambeba mgongoni, mnachukia nini?!
 
Unawekaje bando,halafu unaanza kufungua nyuzi kama hizi,kumbe hata balansi ya BUKU huna?
Ashki ya kuanza kuumba watu kichwani mwako,unaipata wapi?
Aisee wewe kweli ni maskini jeuri.
Ngoja labda uliyemuomba,atakurushia hiyo BUKU.
jaman na mie nampenda, acheni kumsumbua mtoto
 
Acha ujinga wewe, amka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…