Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ungejua sina wivu mie hata kidogo hebu kuwa gentleman toa babe out sio unalia lia kama hujui unataka niniAcha wivu dada nasio😕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua sina wivu mie hata kidogo hebu kuwa gentleman toa babe out sio unalia lia kama hujui unataka niniAcha wivu dada nasio😕
Jamani nichum hivyo hivyo ndio mana nimekupendauweee, sina meno nina magego
dada huyumwenzio hana njaa kama wewe mbona huelewi?Soma comment angetafuta mawasiliano yako. Akutoe out halafu akupe hata laki mbili kukukaribisha tena sio analia lia humu kama sio mwelewa
Acha kiherehere mkuu[emoji1787][emoji1787]Vp nikufungulie thread na wwnikuelezeee vle nahis upo, jinsi navokupenda au niache kiherehere [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anyway Kuna watu majasiri sana
Mwenzio yupo ulaya hayupo chuga kama wewe🤣Ungejua sina wivu mie hata kidogo hebu kuwa gentleman toa babe out sio unalia lia kama hujui unataka nini
Wewe ni mshamba sana umezaliwa wapi,?? Nani amesema kumtoa mtu outing ni njaa wewe ni mshambadada huyumwenzio hana njaa kama wewe mbona huelewi?
Ulaya na tz zote ni nchi nani kasema hatuendagiMwenzio yupo ulaya hayupo chuga kama wewe🤣
Ungekuwa unahela usingekuja kulia lia humu ungetafuta mawasiliano yake halafu umuombe outing sehemu maridadi halafu umtoe out tokea saa nane yaleo hadi saa kumi umpe hata laki mbili ya kumtakia siku njema hata siku ingine . Anakuja sasa unalia lia huku kama thaira wai wewe sio gentlemen wewe ni handcome sio handsome
Sasa mnacuddle
Umeanza kumpelekea motoWewe ni mshamba sana umezaliwa wapi,?? Nani amesema kumtoa mtu outing ni njaa wewe ni mshamba
Unawekaje bando,halafu unaanza kufungua nyuzi kama hizi,kumbe hata balansi ya BUKU huna?nitumie basi japo buki hapo
unavyo SEMA nimtoe auto halafu jioni nimpe lakimbili unadhani Ana njaa yalaki mbili kama wewe?Wewe ni mshamba sana umezaliwa wapi,?? Nani amesema kumtoa mtu outing ni njaa wewe ni mshamba
Acha hiyo ni kwamba hajuii ku quote a lady aende hata huko au afanye mAAJABUMkuu, unafahamu ni kwanini msanii na mfanya biashara mashuhuri nchini marekani JAY Z, hapendi kutumia mtandao wa kijamii.
ni kwa sababu ya watu Kama nyie kumpenda mwanamke mtandaoni ambaye humfahamu. Ni aina ya uandishi wake unakuvutia hii haina maana ya kwamba yeye ni mzuri Sana.
Think as a gentleman. 👍
Sitoki eti hana njaa wewe umeshiba kama huna njaa mbona umekuja kulia humuunavyo SEMA nimtoe auto halafu jioni nimpe lakimbili unadhani Ana njaa yalaki mbili kama wewe?
halafu Toka kwenye uzi wangu pleas👏sitaki makasiriko Yako.
Hapana yeye hajui mapenzi anajua ujuaji eti na njaa kama yeye ameshiba amekuja kufuata nini humu??Umeanza kumpelekea moto
Kukufuata wewe labdaHapana yeye hajui mapenzi anajua ujuaji eti na njaa kama yeye ameshiba amekuja kufuata nini humu??
kama nimelia nioneshe machozi Yako wapi.ukishindwa kunionesha Toka kwenye uzi wangu👉😕Sitoki eti hana njaa wewe umeshiba kama huna njaa mbona umekuja kulia humu
Hapana amemfuata babe wake sio mie humu nachukiwa na wanaume wote kisa nawakosoa so wanakagroup kao nasikia wananichamba eti keusi tii, kafupi kanene warura wakachaaKukufuata wewe labda
wee umeenda lini na ulienda nchi Gani?🤣Ulaya na tz zote ni nchi nani kasema hatuendagi