Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

Ungekuwa unahela usingekuja kulia lia humu ungetafuta mawasiliano yake halafu umuombe outing sehemu maridadi halafu umtoe out tokea saa nane yaleo hadi saa kumi umpe hata laki mbili ya kumtakia siku njema hata siku ingine . Anakuja sasa unalia lia huku kama thaira wai wewe sio gentlemen wewe ni handcome sio handsome
343720.jpg
 
Mkuu, unafahamu ni kwanini msanii na mfanya biashara mashuhuri nchini marekani JAY Z, hapendi kutumia mtandao wa kijamii.

ni kwa sababu ya watu Kama nyie kumpenda mwanamke mtandaoni ambaye humfahamu. Ni aina ya uandishi wake unakuvutia hii haina maana ya kwamba yeye ni mzuri Sana.

Think as a gentleman. 👍
 
Mkuu, unafahamu ni kwanini msanii na mfanya biashara mashuhuri nchini marekani JAY Z, hapendi kutumia mtandao wa kijamii.

ni kwa sababu ya watu Kama nyie kumpenda mwanamke mtandaoni ambaye humfahamu. Ni aina ya uandishi wake unakuvutia hii haina maana ya kwamba yeye ni mzuri Sana.

Think as a gentleman. 👍
Acha hiyo ni kwamba hajuii ku quote a lady aende hata huko au afanye mAAJABU
 
Back
Top Bottom