Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

au mpenzi unanjaa njaa wewe?

niña 37
Wewe heshima mie sipo huko eh kupaisha vipepeo vya watu pambana umtoe out mwenzio umdekeze umrushie rushie maji , umpe ua hujui kupenda mie sina njaa yakula leo nikula nyama nimetolewa out kilo zakutosha kisusio na supu ya samaki . Yaani mboga mboga na kachumbari zakutosha bili yakutosha imelipwa
 
Wewe heshima mie sipo huko eh kupaisha vipepeo vya watu pambana umtoe out mwenzio umdekeze umrushie rushie maji , umpe ua hujui kupenda mie sina njaa yakula leo nikula nyama nimetolewa out kilo zakutosha kisusio na supu ya samaki . Yaani mboga mboga na kachumbari zakutosha bili yakutosha imelipwa
sasa siukalale na mumeo huko?
 
wakuu Salam✋

nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana

nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.

natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.

I love you so much money penny ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
 
nini kwani?😕
 
Ndo mpe kwanza BUKU,ameomba kwa member mmoja hivi,muulizie kama kapata.Ila jamaa jasiri sana,mi nikiwaga sina hela,hata kuwazia wadada siwaziagi.Mcheki mwamba.
hahahaha
 
Ligi ya kubishana maneno yasiyo na tija kwangu ni marufuku.
uwe na siku njema mrembo.
 
Back
Top Bottom