nini kwani?😕Acha ujinga wewe, amka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nini kwani?😕Acha ujinga wewe, amka.
eti ulivyosema wee bibi wame mindwivu utakuua, nani kakuambia mimi sio mzuri!
mwache mtoto aandike, nimeshamwambia nitambeba mgongoni, mnachukia nini?!
Wewe heshima mie sipo huko eh kupaisha vipepeo vya watu pambana umtoe out mwenzio umdekeze umrushie rushie maji , umpe ua hujui kupenda mie sina njaa yakula leo nikula nyama nimetolewa out kilo zakutosha kisusio na supu ya samaki . Yaani mboga mboga na kachumbari zakutosha bili yakutosha imelipwaau mpenzi unanjaa njaa wewe?
niña 37
Ndo mpe kwanza BUKU,ameomba kwa member mmoja hivi,muulizie kama kapata.Ila jamaa jasiri sana,mi nikiwaga sina hela,hata kuwazia wadada siwaziagi.Mcheki mwamba.jaman na mie nampenda, acheni kumsumbua mtoto
Wivu nikuonyeshe PM yangu kwa siku ni wangapi wanakuja wewe tulia ndio maana naringa najibu nyodohuyu simuelewi Ana wivu sana
sasa siukalale na mumeo huko?Wewe heshima mie sipo huko eh kupaisha vipepeo vya watu pambana umtoe out mwenzio umdekeze umrushie rushie maji , umpe ua hujui kupenda mie sina njaa yakula leo nikula nyama nimetolewa out kilo zakutosha kisusio na supu ya samaki . Yaani mboga mboga na kachumbari zakutosha bili yakutosha imelipwa
haya nioneshe sasaWivu nikuonyeshe PM yangu kwa siku ni wangapi wanakuja wewe tulia ndio maana naringa najibu nyodo
Kameshalala nikazee sana sasa hapa nipo nakutania hadi ulog outsasa siukalale na mumeo huko?
Wewe niachike akuu kwa lipi??haya nioneshe sasa
wakuu Salam✋
nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana
nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.
natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.
I love you so much money penny ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wewe niachike akuu kwa lipi??
basi utakuwa mchepuko wangu mana mzee unamtesa tuu.Kameshalala nikazee sana sasa hapa nipo nakutania hadi ulog out
nini kwani?😕
Hapana nikafire katram hana stressbasi utakuwa mchepuko wangu mana mzee unamtesa tuu.
hahahahaNdo mpe kwanza BUKU,ameomba kwa member mmoja hivi,muulizie kama kapata.Ila jamaa jasiri sana,mi nikiwaga sina hela,hata kuwazia wadada siwaziagi.Mcheki mwamba.
Ligi ya kubishana maneno yasiyo na tija kwangu ni marufuku.wivu utakuua, nani kakuambia mimi sio mzuri!
mwache mtoto aandike, nimeshamwambia nitambeba mgongoni, mnachukia nini?!
Mimi mboni sikuchukii
Ligi ya kubishana maneno yasiyo na tija kwangu ni marufuku.
uwe na siku njema mrembo.
Acha ujinga wewe, amka.
Majimama kwa kupenda vijana wadogo ndo yenyewe siku hizi. Wenyewe wanasema wanataka "Show! Show!"Una umri gani? Kama ni 20's huyo ni mama yako.
Kua na adabu.