Usiniadhibu kwa kukupenda

Haya nakusubiru hapa mkulu njoo tufanye ngono
 
Ndg yangu ulikuwa huwajui hawa viumbe sawasawa?.
Kati ya wanawake 1,000 ni 10 pekee ni waelewa
 
Unakuaga na akili njema...sema tu huwa unaamua kujifyetua
 
Wanaume wengi mnatia huruma mno, kwanza unatembea na mwanamke aliyezalishwa & you take Care of her, bado anakuendesha, why tf are you simping? Mtreat the way anastahili, what's so special about her?
 
Wanaume wengi mnatia huruma mno, kwanza unatembea na mwanamke aliyezalishwa & you take Care of her, bado anakuendesha, why tf are you simping? Mtreat the way anastahili, what's so special about her?
Hujui hawa masingle maza ndio wanatoaga show matata kweli kweli ndipo wanapo tuchanganya
 
Wanaume wengi mnatia huruma mno, kwanza unatembea na mwanamke aliyezalishwa & you take Care of her, bado anakuendesha, why tf are you simping? Mtreat the way anastahili, what's so special about her?
Hujui hawa masingle maza ndio wanatoaga show matata kweli kweli ndipo wanapo tuchanganya
 
Komaa kaka hawa viumbe wakishagundua kuwa tumedumbukia wote huwa wanatuburuza vibaya ila nakishauri tafuta mbadala wake haraka
 
Wanaume wengi mnatia huruma mno, kwanza unatembea na mwanamke aliyezalishwa & you take Care of her, bado anakuendesha, why tf are you simping? Mtreat the way anastahili, what's so special about her?
Ndio haya haya nilikua namwambia Carlos The Jackal jana unagongaje single maza aliyezaa mara 2 kwa 100,000/=?? Yan kilo plain..unaanzaje yan?
 
Si tulishasema lakini kuwa singo maza hafai kufanyaje? We ukajidai mjeuri mkaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…