Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Picha mkuu!! Me napenda kupiga picha na simu yangu inapiga picha zenye ujazo mkubwa mpaka MB10Mkuu 1TB unatunza nini kwenye simu?
Mimi kwenye simu hua sizidishi 50GB, hapa nina simu ina 256GB najiuliza nitazijaza lini hizi?
Mimi napenda simu kubwa hizi ila sio kwa sababu ya storage, ni kwa sababu ya functionalities zake.
Toka nimeanza kutumia simu nimefanya analysis naona simu za 64GB zinanitosha kabisa sema nyingi za hivyo hazina functionalities nazotaka kama good camera, higher refresh rate, high screen resolution na mambo kama hayo.
Uko kama mimi.. nikienda kununua simu mtu akianza kusifia camera huwa namwangalia tu..[emoji3] yan camera kwangu sio issue mana picha zenyewe sipigi. Mtu akiongelea charge atleast namuelewaAisee nyie ndo mnaojua kutumia simu, yaani hivyo vitu unavyovitaja sina hata kimoja ninachokizingatia. Hiyo camera yenyewe ninaweza kukaa mwezi sijajipiga picha, yaani mtu kama mimi kununua simu ya million ni kufuata mkumbo tu [emoji3]
😀😀😀😀😀Watumiaji wa i phone ni wajinga wajinga sana
utasikia natumia i phone kwa ajili ya security
ukimuuliza anachoficha nini
hana zaidi za meseji za umalaya
ni wajinga tu
Sie wengine bila kuwarekodi akina mama j tuwapo faragha hatujisikii rahaPicha mkuu!! Me napenda kupiga picha na simu yangu inapiga picha zenye ujazo mkubwa mpaka MB10
Hhahaha sasa hivi unatumia ipiMimi ningekuwa na hela ningenunua.
Ni ukata tu unaonikwamisha.
Lakini ipo siku Mambo yatakaa freshi nitanunua hata Kama tutakuwa tumefikia iPhone 49.
Ninunulie basiKwani hiyo simu inauzwaje kariakoo
Heeeeeeeee kwaheriiSie wengine bila kuwarekodi akina mama j tuwapo faragha hatujisikii raha
Niambie bei huenda nikakununuliaNinunulie basi
Si bei ndio ulioona milion 4 na usheeeNiambie bei huenda nikakununulia
Unanunua iPhone 13 father house unamkimbia wewe ni popoma
Unanunua iPhone 13 unapanda daladala wewe ni popoma mkuu
Unanunua iPhone 13 vocha unaweka ya buku wewe ni popoma kanali
Unanunua iPhone 13 kwa mwaka storage yako ni GB 30 tu wewe ni superintendent popoma in charge
Unanunua iPhone 13 ili upate sifa ( na infact no body cares) wewe Popoma in Chief (PiC)
Vijana acheni kuishi maisha ya kuigiza there's life ahead and you'll be left succumbing on your own. Invest, invest, invest. Usiishi kufurahisha umma.
huu ujinga unazidi kukua sanaMkuu si tulisema tuna taniana saza mbona umeanza kusema ukweli aise.
Bora hata umeniambia mapema, ilikuwa bado kidogo tu.....Aisee apple ni wajanja sana
Mabadiliko ni madogo sana kwa iPhone 13
Bei yake iko juu sana
Nimeskiliza kwa makin uchambuz wake
Kwa kifup hakuna jipya
MAMBO MAPYA NDANI YA IPHONE 13
View attachment 1943222
Simu ni kama portable computer siku hizi, unaweka CV, driving licence, documents zako zote za muhimu. Picha za familia na matukio mengine.Mkuu 1TB unatunza nini kwenye simu?
Mimi kwenye simu hua sizidishi 50GB, hapa nina simu ina 256GB najiuliza nitazijaza lini hizi?
Mimi napenda simu kubwa hizi ila sio kwa sababu ya storage, ni kwa sababu ya functionalities zake.
Toka nimeanza kutumia simu nimefanya analysis naona simu za 64GB zinanitosha kabisa sema nyingi za hivyo hazina functionalities nazotaka kama good camera, higher refresh rate, high screen resolution na mambo kama hayo.
Unajua Cristiano Ronaldo anatumia simu gani?Excuse za watu wasio na hela zinachekesha sana,[emoji23]nasubiria ifike kwa hamu apa nipeleke 12pro nipewe 13pro,lazima kieleweke
1 TB ni kubwa mnoSimu ni kama portable computer siku hizi, unaweka CV, driving licence, documents zako zote za muhimu. Picha za familia na matukio mengine.
Kaazi kweli,si bora nikununulie infinix na passo au vitz,au unaonaje hiyoSi bei ndio ulioona milion 4 na usheee