Usinunue iphone 13

Wabongo ni changamoto sana. iPhone ndio the best world class phone sababu ya best engineering and art combination. Ni durable na ina the best operating system on earth. Tumia hela yako nunua nokia kitorch zingine invest. Acha anayependa iPhone na kuifurahia anunue, pesa ni yake!
 
Yaani hapa ni sawa na kumwambia mtu asinunue Range Rover anunue ist ikiwa uwezo anao eti sababu inakofika Range na ist inafika. Short sighted!
 
unajua cristiano ronaldo anatumia simu gani ?
sadio mane je ?

i phone ni overated ndio maana mnauziwa fake za china

mkiambiwa ukweli mnasema mna hela

nyinyi ni
Hiyo kesho ni ya Mungu sio yako. Don’t live in the future!
iPhone mtu asiyekuwa na uwezo wa kuinunua lazima awachukie walio na simu hizo lakini ukweli ni kuwa hata yeye anapenda awe nayo!
 
Wewe ni kama mimi[emoji23][emoji23][emoji23] kidogo saiv inanukia 85GB lakini bado haina dalili ya kujaa
 
Yaani hapa ni sawa na kumwambia mtu asinunue Range Rover anunue ist ikiwa uwezo anao eti sababu inakofika Range na ist inafika. Short sighted!
Hoja hapa sio kwa mwenye uwezo huyo aendelee.. ila mtu ni mkataufuta anaungaunga tu lisimu la bei ya mradi wa maana unaoleta fedha nyingi la nini si anunue simu simple tu hiyo fedha awekeze!?
 
Ni sahihi pesa ni yake kama ilivo kufa na kuzaliwa kila mmoja kivyake ndivyo ilivyo kwenye expenditure...hapa tunashauriana tu....mostly hizo simu watatumia kuitukana serikali kwamba haiwapi pesa wapumbafu kabisa hao...kwa milionea pongezi kumiliki kifaa cha kisasa

No wonder tuna watu wanalazimisha kuishi maisha ya juu yasilingana na kipato...utakuwa mhalifu tu ukiiga kunya kwa tembo
 
Wewe ni kama mimi[emoji23][emoji23][emoji23] kidogo saiv inanukia 85GB lakini bado haina dalili ya kujaa
wewe walau unafikisha zaidi ya 60, mimi niliwahi kua na GB nyingi ni 54, hapo apps, videos, pictures na kila kitu ndio inafika hiyo 54GB na hapo nilikua nimezunguka nchi nzima nikawa narecord maeneo, matukio na kila kitu zaidi ya miezi 4.
 
wewe walau unafikisha zaidi ya 60, mimi niliwahi kua na GB nyingi ni 54, hapo apps, videos, pictures na kila kitu ndio inafika hiyo 54GB na hapo nilikua nimezunguka nchi nzima nikawa narecord maeneo, matukio na kila kitu zaidi ya miezi 4.
Mimi ni videos na picha za watsap. Nikitulia nikazifuta itapungua sana
 
Nitanunua kwasababu ya storage tu. Kazi zangu nahitaji storage kubwa na ndio iPhone ya kwanza kuwa na 1TB. Baada ya hapo sitanunua smartphone kwa miaka 10 ijayo labda niibiwe.

Kama storage mbona memory card zipo za 1TB, ukiwa na android hiko sio kikwazo.
 
Hebu tuache wenye hela zetu zipate matumizi dogo
 
Hiyo inaonyesha kuipata hiyo ya kwanza alipambana sana na huenda kuna vitu aligawa kwa wanaume wenzake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…