Usinunue vitu online kwa kutipia TIGO MASTERCARD!

Usinunue vitu online kwa kutipia TIGO MASTERCARD!

Nadhani voda ndio walikua wa kwànza kutuletea hizi virtual cards (i stand to be corrected). Wameendelea kua mbele ya hawa wapuuzi wengine kwenye huduma zao zote zinazohusisha virtual card.

Mara zote nilizotumia virtual card yao, sijawahi kupata tatizo. Nilipotaka kujaribu Airtel, nikakuta virtual card yao imeunganishwa moja kwa moja na airtel money, nikajua hapa kuna tatizo. Nikatemana nao!

I strongly recommend virtual card ya Vodacom.
 
Siamini hata watoa huduma wana hulka ya kusaidia naonaga wanajibugi kirahisi sana na sometime wasitatue changamoto zako, nimeibiwa hela na mkenya laki tano tulikua tunafanya biashara yani nimeibiwa pesa na vitu bidhaa sikupata nimewapigia tigo sijapata msaada wowote mpaka leo japo kurudisha miamala mpaka leo, jamaa alikua anatumia safaricom,

Ikabidi niwaandikie safaricom mail ila wapi
 
siku hiyo nilishangaa msg inaingia kua nimeshafanya malipo na tigo pesa mastercard ,muamala ambao sijaufanya ,duu ilikula kwangu tigo hawana sapot kabisa mpaka badae kufatilia sana nikagundua ni malipo ya application za simu

Kiufupi ukilipia kitu online kwa kutumia tigo pesa mastercard automatically card inaweza kufanya malipo mengine bila wewe kua na taarifa utashtukia tu unapokea msg kua muamala umekwishafanyika ,poor service ni wizi mtupu.kwa sasa nimeacha kuweka hela huko kuepusha hili.
 
Leo ningekuwa na salio tigopesa wangenifurahisha
IMG_20231104_162702.jpg
 
Siamini hata watoa huduma wana hulka ya kusaidia naonaga wanajibugi kirahisi sana na sometime wasitatue changamoto zako, nimeibiwa hela na mkenya laki tano tulikua tunafanya biashara yani nimeibiwa pesa na vitu bidhaa sikupata nimewapigia tigo sijapata msaada wowote mpaka leo japo kurudisha miamala mpaka leo, jamaa alikua anatumia safaricom,

Ikabidi niwaandikie safaricom mail ila wapi
Means huna pakushika mzee duuuuh... Bongo noma, hivi Hakuna namna yeyote Ile ambayo inafanywa na mamlaka kwaajili ya kukomesha hizi tabia maana ww sio wa kwanza na wanao fanya hivyo big company sio kwamba ni genge tuuy la wahuni kwamba itachukua muda mrefu kupatikana kwao au ikoje iyo mambo apo.
 
Hahaa pole sana
Tigo warekebishe hayo malalamiko ya wateja otherwise watu hawataitumia itawadodea.
Asante mkuu,
Sidhani kama ipo kwenye priorities zao.
Kuwa na mfumo wenye changamoto ni kimoja, kutokua professional hasa kwenye support pale mteja anapopata changamoto ni cha pili na kibaya zaidi.
Naona hapa option ni kuwahama tu.
 
Wamaana ni voda tu hapo

Kitendo cha kadi za airtel na tigo kua linked moja kwa moja account ni tatizo,

Voda yupo mbele ya muda kaweka wallet maalumuili kadi isiiingilie mpesa

Nadhani voda ndio walikua wa kwànza kutuletea hizi virtual cards (i stand to be corrected). Wameendelea kua mbele ya hawa wapuuzi wengine kwenye huduma zao zote zinazohusisha virtual card.

Mara zote nilizotumia virtual card yao, sijawahi kupata tatizo. Nilipotaka kujaribu Airtel, nikakuta virtual card yao imeunganishwa moja kwa moja na airtel money, nikajua hapa kuna tatizo. Nikatemana nao!

I strongly recommend virtual card ya Vodacom.

Tumia VODACOM....

M pesa master card ndio mambo yote
Naunga mkono hoja, sijawahi kupata tatizo na Voda.
Na saa nyingi transactions kweli zinafail na hela naona inarudi kwenye kadi yenyewe.
Pia nilishakupata case ya refund aliexpress na hela ilirudi bila usumbufu wowote.
 
Sheria zipo na wanasheria wapo
Watanzania kuwa wagumu kuwaburuza Hawa wapuuzi mahakamani ndiyo sababu za wao kuburuza wananchi na kuwaibia hovyo
Lakini kama tungezingatia sheria kwa kila makosa wanayofanya huduma ingekuwa nzuri

Siyo wananchi wa kawaida wala wanasheria wa nchi hii wanaojielewa
Mambo ya kijinga ni mengi na ni fursa za kupiga pesa kirahisi tu lakini watu wamekaa tu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Siamini hata watoa huduma wana hulka ya kusaidia naonaga wanajibugi kirahisi sana na sometime wasitatue changamoto zako, nimeibiwa hela na mkenya laki tano tulikua tunafanya biashara yani nimeibiwa pesa na vitu bidhaa sikupata nimewapigia tigo sijapata msaada wowote mpaka leo japo kurudisha miamala mpaka leo, jamaa alikua anatumia safaricom,

Ikabidi niwaandikie safaricom mail ila wapi
Mkuu pole sana kwa hii changamoto, na mimi nimekuja kujifunza kuwa hawa watu hawajali na mara nyingi hawataki kubeba jukumu la kumsaidia mteja wao hata kutosupport ya documents pia ni shida kwao.
 
Back
Top Bottom