Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
- Thread starter
-
- #41
Kuna sehemu nilisoma ni 5% ya transaction, lakini pia kuna sehemu nyingine nilisoma ni 10%. Sasa sina uhakika ipi ni ipiMakato yanakuwaje mnaotumia master card kulipia vitu online
Mkuu kama ulisubscribe kwenye App au service ni ngumu sana hata kwa card provider wengine kuissue reversal.siku hiyo nilishangaa msg inaingia kua nimeshafanya malipo na tigo pesa mastercard ,muamala ambao sijaufanya ,duu ilikula kwangu tigo hawana sapot kabisa mpaka badae kufatilia sana nikagundua ni malipo ya application za simu
Kiufupi ukilipia kitu online kwa kutumia tigo pesa mastercard automatically card inaweza kufanya malipo mengine bila wewe kua na taarifa utashtukia tu unapokea msg kua muamala umekwishafanyika ,poor service ni wizi mtupu.kwa sasa nimeacha kuweka hela huko kuepusha hili.
Mkuu hongera sana kwa kukwepa huu mkuki.Leo ningekuwa na salio tigopesa wangenifurahisha View attachment 2803677
Mkuu ni kweli unachokisema, kuna uwezekano ni kweli wengi hatujui hizi sheria lakini pia nafikiri aina ya miamala tunayopigwa haitupi motisha ya kutumia hela zaidi kwenye kuajili wanasheria na kutumia muda mahakamani.Sheria zipo na wanasheria wapo
Watanzania kuwa wagumu kuwaburuza Hawa wapuuzi mahakamani ndiyo sababu za wao kuburuza wananchi na kuwaibia hovyo
Lakini kama tungezingatia sheria kwa kila makosa wanayofanya huduma ingekuwa nzuri
Siyo wananchi wa kawaida wala wanasheria wa nchi hii wanaojielewa
Mambo ya kijinga ni mengi na ni fursa za kupiga pesa kirahisi tu lakini watu wamekaa tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Shukrani sana.Pole sana mkuu
Shida ukilalamikia kwao kule wanasema fanya mawasiliano na mtandao wako ulioko huko Tanzania kwa kweli tunapigwa mpaka tunapigika sio sawa unapoteza hela nyingi na tigo wanafeli kuzichukua kwaajili yako, biashara za mtandao ni risk sana kwasisi watanzania hatuna sehemu ya kufanya tracking pesa ilipopotelea, na mitandao haisaidii kabisaMeans huna pakushika mzee duuuuh... Bongo noma, hivi Hakuna namna yeyote Ile ambayo inafanywa na mamlaka kwaajili ya kukomesha hizi tabia maana ww sio wa kwanza na wanao fanya hivyo big company sio kwamba ni genge tuuy la wahuni kwamba itachukua muda mrefu kupatikana kwao au ikoje iyo mambo apo.
Sheria zipo za kumlinda mteja lakini imekua ni kawaida kumuachia mteja ujipambanie ulichokipoteza huku unakuja kufeli maana huna njia nyingi za ku access ulichopoteza kama wao walio kuwa kwenye systemMkuu pole sana kwa hii changamoto, na mimi nimekuja kujifunza kuwa hawa watu hawajali na mara nyingi hawataki kubeba jukumu la kumsaidia mteja wao hata kutosupport ya documents pia ni shida kwao.
Hizo ofa huwa zinauzwa kbala ya SIMU kuuzwaHawa toka niliponunua simu moja ya duka lao na kuahidiwa ofa, lakini muda ukifika kupata hiyo ofa sasa mtihani.
Wahuni sana.
Nenda TCRA na au BOTHakika mkuu, hii imenishangaza sana.
Sijajua ni taasisi ipi inahusika kwenye kusimamia haya maswala, ila pia sidhani kama hiyo taasisi husika itakua interested pia.
Hii imenikuta mwezi wa 9, nililipia bidhaa aliexpress kupitia Tigo Mastercard. Hela ilikatwa lakini Aliexpress wakasema malipo hayajafika. Kuwasiliana na Tigo hawakuwa na majibu ya kueleweka. Nashauri ni bora zaidi manunuzi ya mtandaoni yafanyike kwa njia ya Visa au Mastercard zinazotolewa na Bank.NItakupa sababu mbili muhimu kwanini usitumie kadi yako ya TIGO mastercard kununua vitu online.
1. Hii kadi wameunganisha mojamoja na akaunti ya Tigopesa, hamna control ambayo mteja unakua nayo kudhibiti kiwango cha juu ya muamala pale ambapo akaunti yako inakiasi cha kutosha kufanya muamala zaidi ya mmoja.
2. Accountability, support ya Tigopesa ipo very poor, haijibu kwa wakati na haitaki kubeba majukumu ya kutatua matatizo pale yatakapotokea. Ili uwezekuelewa vizuri ngoja nikupe mapito yangu ya hivi karibuni.
Kisa: Mwezi uliyopita nilinunua application kupita MICROSOFT Store kwa kiasi cha $15, inaonekana kulikua na tatizo kwenye mfumo wa malipo na kupelekea muamala ya $15 kufanyika mara nne, tena ingewezekana kufanyika mara nyingi zaidi kama nisingewahi kuizuia kadi.
Sasa Microsoft wanasema kati ya miamala minne ni mmoja tu ambao umewafikia, nawakashauri ni wasiliane na benki yangu kuhusu miamala mitatu ambayo haikufanikiwa na wakanipa reference namba 3.
Sasa nimewasiliana na hawa ndugu zangu Tigo kwa njia ya simu kisa kwenda kwenye moja ya duka lao, wanakazana kuwa miamala yote minne ilienda ("Posted"), wamegoma kusoma barua pepe niliyotumiwa kutoka Microsoft, wamegoma mimi kuwaunganisha ("CC") katika barua pepe ambayo nimetumiwa na Microsoft. Pia wamenipa printout ya hizo transaction lakini wamegoma kutumia makaratasi ambayo yapo branded, yani kwa lugha nyepesi wameprint tables kwenye makaratasi ya kawaida ambapo hamna details ambazo zinasema kilichoprintiwa kimetoka wapi. Sasa wanategemea mimi nishare haya makaratasi na hawa wajamaa, dah.
Kwa ufupi hili ni funzo nimelipata, na imani na wewe utakua umejifunza kitu kipya.
N.B: Kunamdau anaweza sema ningeamisha hela kwenda namba kabla sijafanya huo muamala.
1. Hii sio practical kwa sababu itahitaji niwe na namba zaidi ya moja, pia kila unapoamisha kuna makato yasiyo na kichwa wala mguu.
2. Baada ya kuamisha unaweza kupokea muamala kutoka kwa mtu na kuifanya accounti yako kuwa na hela za ziada.
3. Kama ni subscription, huu ujinga unaweza kufanyika usiku wakati umelala, na kujikuta unaamka asubuhi message za Tigo pesa zinaongozana.
Asante
Ni Washenzi kupita maelezo. Hawana msaada. Nimelizwa makato kwenda AliExpress na sikuagiza kitu chochote hukoUnaweza kuona TigoPesa ni wa huni lakini Airtel ni kampuni ya kishenzi zaidi
Tigo nawachukiaNi Washenzi kupita maelezo. Hawana msaada. Nimelizwa makato kwenda AliExpress na sikuagiza kitu chochote huko