Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OlewaNisiolewe na mtu niliyempenda tena
YesHayana formula.
YesNa yakisha kuwa na mwongozo hayo sio mapenzi tena bali ni mradi fulani.
YesHayanaga muongozo
Sahihi kabisa[emoji4]Olewa
Hayanaga muongozo...
KabeeeeeesaHayanaga muongozo...
Ndiwoooo ndiwooooo! Bila pesa maisha hayaendi
Mleta mada anapendekeza muolewe na watu mnaowachukia... Mwisho wa siku mnakatana vichwa usingizini...Kabeeeeeesa
Kama ni hivo basi mi nakuchukiaaa sanaaaa fanya unikate kichwa basiii🤠Mleta mada anapendekeza muoeowe na watu mnaowachukia... Mwisho wa siku mnakatana vichwa usingizini...
Wewe nikikukata kichwa, nitakukuta peponi mmoja wa mabikra 70...Kama ni hivo basi mi nakuchukiaaa sanaaaa fanya unikate kichwa basiii🤠
Weee sema kweli!!!! Mi Peponi moja kwa Mojaa ausio!Wewe nikikukata kichwa, nitakukuta peponi mmoja wa mabikra 70...