fanya tu unipe mwaliko siku ya ndoa na mahondaw. mchango wangu upo kabatini.Mleta mada anapendekeza muolewe na watu mnaowachukia... Mwisho wa siku mnakatana vichwa usingizini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fanya tu unipe mwaliko siku ya ndoa na mahondaw. mchango wangu upo kabatini.Mleta mada anapendekeza muolewe na watu mnaowachukia... Mwisho wa siku mnakatana vichwa usingizini...
Kutakua hakuna michango...fanya tu unipe mwaliko siku ya ndoa na mahondaw. mchango wangu upo kabatini.
Kuchukiwa siyo dhambi... Mimi nakupenda...Kama ni hivo basi mi nakuchukiaaa sanaaaa fanya unikate kichwa basiii🤠
nakubali 😃Kutakua hakuna michango...
Kila mtu ni mwalimuSkuiz Kila mtu ni expat wa mapenzi
Chukua huu ushauri kama muongozo wa baadae
Kupendana kwa dhati ndo nini? hakuna kitu kama hicho. maisha yamejaa unafiki. watu watakupenda kwa sababu una kitu na si vinginevyoUsioe au kuolewa na mtu uliyempenda kwa dhati( whatever that means because watu wanapenda tu wakiona watapata nn sana sana wanawake) oa au olewa na rafiki kipenzi na mtu mnayeendana kitabia, maadili na pesa.
Mtu ambaye mw akili na km mtazaa una uhakika watoto watakuwa na Genes nzuri na mtu ambaye anajua kumanage pesa na mnakuwa partners na mnakuwa kimahesabu; kuliko ku fall in love cjui nn bla bla bla hapo utaumizwa tu lazima.