Usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini lakini anaishi maisha ya kifahari

Usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini lakini anaishi maisha ya kifahari

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Nakuonya ewe kijana, kamwe usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini na hana kazi yoyote lakini anaishi maisha ya kifahari na matanuzi.

Wengi wao ni wauza Mbususu wa kimya kimya.

MLIOAMUA KUOA CHUKUENI DARASA HILO KUTOKA KWA MJANJA M1.

Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Vienna Austria 🇦🇹
 
Kwani maisha ya kifahari ya huyo mwanamke yananini cha kufanya na umasikini wa kwao.
 
Vyovyote tu mrado wana mbususu na inalika tutakula, kuoa ni kitu kingine sasa hicho
 
Nakuonya ewe kijana, kamwe usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini na hana kazi yoyote lakini anaishi maisha ya kifahari na matanuzi.

Wengi wao ni wauza Mbususu wa kimya kimya.

MLIOAMUA KUOA CHUKUENI DARASA HILO KUTOKA KWA MJANJA M1.

Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Vienna Austria 🇦🇹
Alafu "k" zao zinaharufu balaaa!
 
Back
Top Bottom