RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Uoe bikra, uoe aliyekwisha vurungwa kupigiwa utapigiwa tu. Hata umfiche ndani na kumfungia kwa kufuli, wahuni watammega tu.Kama mwanamume, ikiwa utaoa au kuchumbiana na mtu ambaye si bikira kwa muda mrefu, unapaswa uwe na uzoefu wa kuwa na mahusiano na wanawake tofauti tofauti.
Kama ni mtu wa Mungu, epuka kuwaoa wanawake wasio bikra, watakufananisha utendaji wako wa chumbani na wanaume waliokuwa nao huko nyuma, ukiwa chini ya kiwango, watakusaliti na utaishia kulea mbegu za wanaume wengine. Waachie wasio bikra waolewe na wanaume waliokulq ujana vya kutosha.
Sitaeleza hili. Wale wanaojua, wanajua.
Mbunye ndio sababuOya umepatwa na nini jomba mbona nyuzi mfululizo kuwasema wanawake.
Wahuni watamfukuzia mpaka huko ndani ulipomfichaUoe bikra, uoe aliyekwisha vurungwa kupigiwa utapigiwa tu. Hata umfiche ndani na kumfungia kwa kufuli, wahini watammega tu.
Mungu ndivyo alivyoumba. Ukitaka usipigiwe basi usioe
Sema akiamua kutoa sio lazma aliwe nje ni maamuzi yakeUoe bikra, uoe aliyekwisha vurungwa kupigiwa utapigiwa tu. Hata umfiche ndani na kumfungia kwa kufuli, wahini watammega tu.
Mungu ndivyo alivyoumba. Ukitaka usipigiwe basi usioe
Sijapatwa na kitu chochote.Oya umepatwa na nini jomba mbona nyuzi mfululizo kuwasema wanawake.
Ndoa sikuhizi usipotumia logic , utaoa matatizo.Sema mnaogopa sana ndoa
Inahitaji maarifa, watu wanaoa tu hawaulizi watu wa kitaa huyo anayetaka kumuoa yukoje. Hafatilii, anajichukulia tu, mwishowe utakuta anakuja kulia JF.ni kweli, hekima ya kuchagua mke sio ya kitoto.