Usioe mwanamke asiye bikra kama hujawahi kuwa na mahusiano na wanawake tofauti tofauti

RedPill Prophet

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2023
Posts
1,408
Reaction score
3,564
Kama mwanamume, ikiwa utaoa au kuchumbiana na mtu ambaye si bikira kwa muda mrefu, unapaswa uwe na uzoefu wa kuwa na mahusiano na wanawake tofauti tofauti.

Kama ni mtu wa Mungu, epuka kuwaoa wanawake wasio bikra, watakufananisha utendaji wako wa chumbani na wanaume waliokuwa nao huko nyuma, ukiwa chini ya kiwango, watakusaliti na utaishia kulea mbegu za wanaume wengine. Waachie wasio bikra waolewe na wanaume waliokula ujana vya kutosha.

Sitaeleza hili. Wale wanaojua, wanajua.
 
Uoe bikra, uoe aliyekwisha vurungwa kupigiwa utapigiwa tu. Hata umfiche ndani na kumfungia kwa kufuli, wahuni watammega tu.

Mungu ndivyo alivyoumba. Ukitaka usipigiwe basi usioe
 
Ndoa muhimu sana mapema.

Funga ndoa na mwenza uliyesoma nae , ama uliyekua nae eneo moja, yaani umjue vizuri toka anavunja ungo ama balehe tabia zake zilikuwaje.

Na ndoa mfunge mapema kabla age ya ke haijavuka 25.

Nje ya hapo utauziwa mbuzi kwenye gunia
 
Oya umepatwa na nini jomba mbona nyuzi mfululizo kuwasema wanawake.
Sijapatwa na kitu chochote.
Haya ni maarifa ambayo kila mwanaume anapaswa kuwa nayo kichwani na asipokuwa na maarifa, ataliwa kichwa na kulaumu humu mtandaoni.
 
ni kweli, hekima ya kuchagua mke sio ya kitoto.
Inahitaji maarifa, watu wanaoa tu hawaulizi watu wa kitaa huyo anayetaka kumuoa yukoje. Hafatilii, anajichukulia tu, mwishowe utakuta anakuja kulia JF.

Mwanaume akioa malaya na akamsaliti ni kosa lake mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…