Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Jf inatumika kukuunganisha wewe na wadada, ukiwa mjanja unapata namba zao na hadi kuonana nao. Asilimia kubwa wapo dar , songea, Arusha, mbeya, dodoma na mwanza kama upo mbali na hiyo mikoa utaingia garama za kusafiri ili kuonana nao. Ila ukiwa baharia mzuri yeye anakufata mwenyewe ila lazima akuchune kucover loss alizo ingia

Katika kuonana anakwaana ndiyo utajua ni mrembo au ni geresha.

Tumia PM yako vizuri ila usianze kutoa hela kabla ya kuonaa uprove ni demu kweli au geresha, sema mapenzi ya huku unauziwa direct and indirect.

Ila angalia usioe wengi ni wale wale ,
 
Hujajibu swali.

Wakitoka JF ukakutana nao mtaani vipi? Watafaa?

Umeelewa swali?
Mtaani kuna makundi mawili wanaofaa na wasio faa kuoa na wale wanaovumilika kulingana na uhitaji wako.

Huku wengi wapo kwenye kundi la wasiofaa huko mtaani na nirahisi kuwajua hata huko mtaani.

kama unataka tafuta demu mmoja humu anza kumfatilia kiitelijensia kimnya kimnya huku unjipakulia kwa uangalifu
 
Tabia ulizo eleza ni tabia mtambuka kwa wanawake wa Tanzania nzima, Africa na Dunia nzima kuondoa nchi za kiarabu.
Feminism ndio inatawala dunia ya sasa hakuna pa nafuu.
Serikali zenewe zinachochea feminism vipi wa JF wasalimike ?
Maofiini mitaani si tunajionea wenyewe!
Kuna mambo sisi wanaume tukubali tu kuwa yalishapitwa na wakati. Tusilazimishe wanawake wa mwaka 90 wawe wa sasa haiwezekani. Huoni hadi mashoga wanadai haki zao sembuse wanawake.
Asilimia kubwa ya sisi wanaume hatutaki mwanamke awe na power iliokaribiana na mwanaume.
Kuna wanawake very smart kuliko sisi wanaume unadhani utawaendesha kama gari bovu.
Tujifunze kuishi nao ktk muktadha wa sasa, tukumbuke hao wanawake wamesoma sawa na sisi, wanatafuta pesa sawa na sisi.
Utamtisha kwa lipi ?
Imagine mkeo ndio Tulia Akson, unadhani unaweza kummudu ?
 
Aisee utawajuaje!?
 
huu uzi nitauamin endapo na mimi nitagawiwa na wadada wa jf.

yani sijawahi hata kutunukiwa hata siku moja hata kwa bahati mbaya haya kuuziwa sijawahi alafu naambiwa wanagawa kirahisi?
Mkuu mbona simple jitoe muhanga au kama Id yako ni ya hovyo anzisha Id nyingine jifanye mzee wa busara na unajalijali. Simple sana
 
Tuwashukuru wanawake kwa kutochukua mamlaka yao yote. Yaani kuna asilimia ndogo tu wanawake wameamua kuichukua. Wakichukua full power wanaume tutahama hii dunia maana tumezoea kuwaonea kama tunavyoonea wanyama. Tumemfanya mwanamke kuwa sio binadamu kamili.
Mfano kumlipia mahali mwanamke, hili jambo ipo siku wanawake dunia nzima watalikataa na hapo power ya mwanaume ndipo ilipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…