Hata sipo huko.. ila ya mwaka jana hawakunibamba, walizidiwa na East Africa kwenye fataki.Leo mida ya wanga 22:30 granmelia chuga
Leo ground floor 50k
Rooftop 100k
Huko kwingine $400
Cc depal nitakuwepo mitaa hiyo uje nikuonyeshe vitu flan
Mfafanulie, hizo bei ni plus na nn?Arusha leo pako hivi kufungua mwaka
22:30
ground floor 50k
Rooftop 100k
Huko kwingine $400
Unatafuta saizi yako
maandalizi yalikua mabovu na fataki zilichelewa kuwasili.Hata sipo huko.. ila ya mwaka jana hawakunibamba, walizidiwa na East Africa kwenye fataki.
Pool bar kona zangu hizo nashindaga sana mitaa hiyo hapoMfafanulie, hizo bei ni plus na nn?
Ground napenda tu upande wa pool bar
Rooftop [emoji108][emoji108]
Nikuoe sasa hii 2024.[emoji23][emoji23] dj waleteeee wandewa
Haha wewe upo? Za miaka teleNikuoe sasa hii 2024.
Kumbee? Mm nilikuwa Gold Crest Hotelmaandalizi yalikua mabovu na fataki zilichelewa kuwasili.
Nilijua upo pande hizi tunywe ata mafuta taaaaa tusuuze koo la mwaka mpya
YapKumbee? Mm nilikuwa Gold Crest Hotel
Naona za Melia na za Mount Meru
Walizidiwa,, East Africa alikiwasha mno
Rooftop safi sijui niangukie lihotel gan apaArusha leo pako hivi kufungua mwaka
22:30
ground floor 50k
Rooftop 100k
Huko kwingine $400
Unatafuta saizi yako
Gold crest waliniuzi siku moja nkapandishana nao sanaKumbee? Mm nilikuwa Gold Crest Hotel
Naona za Melia na za Mount Meru
Walizidiwa,, East Africa alikiwasha mno
Nenda KiboRooftop safi sijui niangukie lihotel gan apa
Hiyo laki anazama rooftop na anapewa premium sparkling mojaMfafanulie, hizo bei ni plus na nn?
Ground napenda tu upande wa pool bar
Rooftop [emoji108][emoji108]
Haha walikufanyaje?Gold crest waliniuzi siku moja nkapandishana nao sana
hakuna mwanaume rijali anakataa ndoa au anakataa mama, haijalishi unapigwa vizinga kiasi gani, mimi mwenyewe bila hawa ke"" naona bado sijakamilika ukitoa hela, pombe na wazaziAnd here we go again!!
Kuna member aliwahi leta uzi kuwa jf men wengi ni gays. Hii ilikuwa ni baada ya kuwepo kwa nyuzi mfululizo kama tatu za confession za wanaume gays. Akasema ni kwasababu hawa wanawake ni competitors wao hivyo ili wawatoe mchezoni inabidi itumike nguvu kubwa kuonyesha wanawake hawafai.
Sababu zingine alizotoa ni kuwa
-Nyingi ya id za ke humu ndani ni za wanaume
-Wanaume wengi humu ni kama wako kwenye campaign ya kuwatukana wanawake
-Wazee wa kataa ndoa maana hakuna mwanaume timamu na rijali atafanya hicho kitu
Ila ule uzi ulifutwa shwaaaaa!! Ila ukija uzi wa kuwasimanga wanawake saaasa unavyoshamiri.
BTW mtoa mada pole kwa yaliyokukuta.
100k ni Out of anyfood?Hiyo laki anazama rooftop na anapewa premium sparkling moja
Hiyo fifte ananyonya drink atakayoikuta ya bei chee huko ground floor
Hiyo $400 / table / 4.... sijaifatilia sana hii maana sinawa kukaa nao hapo.
Mm nitakua kule rooftop naangalia mlima meru unavyo mulikwa na fataki kuudondosha mwaka.
Nb.. kama ana gari awahi mapema ili apate parking maana parking zinajaaga si mchezo. Unaweza acha gari huko road unapokea mwaka huku unawaza vibaka wanachokonoa ndinga
Itakua wale majamaa wa nguo nyeusi walikuzingua nini maana siku kama hizi wanajikutaga wanajeshi na bado pale unapark ndinga for u r own risk huko njeGold crest waliniuzi siku moja nkapandishana nao sana
Chuma inabak nyumban 🤣🤣 sitak masikhara yakuanza mwaka na kutafta speaHiyo laki anazama rooftop na anapewa premium sparkling moja
Hiyo fifte ananyonya drink atakayoikuta ya bei chee huko ground floor
Hiyo $400 / table / 4.... sijaifatilia sana hii maana sinawa kukaa nao hapo.
Mm nitakua kule rooftop naangalia mlima meru unavyo mulikwa na fataki kuudondosha mwaka.
Nb.. kama ana gari awahi mapema ili apate parking maana parking zinajaaga si mchezo. Unaweza acha gari huko road unapokea mwaka huku unawaza vibaka wanachokonoa ndinga
Yap100k ni Out of anyfood?
Napenda Breakfast yao… ni heavy [emoji13]
Umemchambulia vyema, achague pa kujimaliza. Pia 4 point by Sheraton ni pazur