Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #41
Well spoken with observable truthKila kitu ni risk, ukiwa unatembea ni risk unaweza pata ajali, ukisafiri ni risk, mwanamke kwenda kujifungua ni risk, ukiwa unaendesha gari ni risk... Kila kitu ni risk katika maisha hata chakula tunachokula chaweza kuwa sumu mwilini, wangapi wamelazwa kwa ulaji usio sahihi?
Maisha yetu tumezungukwa na risks kila siku, ukienda mizungukoni ukirudi salama nyumbani ni jambo la kumshukuru Mungu...
Haina haja ya kuogopa ku risk either katika biashara au utafutaji lakini si kwa uhalifu.
Amina, natumaini wewe umenielewa nakwahili na kuunga mkono japo haujavunjikaBonge la Uzi....Vijana inabidi tuwe na fikra za namna hii.
Mleta mada hajasema watu waibe au wafanye uharifu, amesema tafuta hela kwa udi na uvumba na usiogope ku-take risk.
Kuvuka border, kuvuka maji au kuzamia pits za migodini sio uharifu...huo ni ushujaa wazee.
Uharifu ni kuiba mali za umma ukiwa kiongozi, matumizi mabaya ya madaraka, tozo za ajabu ajabu, kuiba kura nk.
Vijana tukaze pamoja na changamoto nyingi lakini as long as tunapumua, tuna nafasi ya kutoboa....watu wanasema miaka 40 ni ya kuanza bata, utafutaji na muda wa kutoboa hatulingani mazee...Mi ntatafuta hadi siku nakata pumzi...maana wapo waliotoboa na miaka 40, 50, 60 mpaka 90 huko.
Vijana wanaogopa kuacha familia na kwenda hata mikoa ya mbali kutafuta hela. Sio lazima kwenda mbali ila pale inapobidi usisite kuliamsha.
Heshima kwa vijana wote tunao-hustle daily na tunaamini tutatoboa..Mwenyezi Mungu atusimamie.
Kweli hata saa mbovu kuna muda inakuwa sawa.
Kama maisha yapi hayo kwa mfano, bila ya pesa.!?Ni kweli inaleta peace of mind Ila pesa is "not every thing" kuna maisha zaidi ya pesa
Ahsante kwa ujumbe wako mkuuBonge la Uzi....Vijana inabidi tuwe na fikra za namna hii.
Mleta mada hajasema watu waibe au wafanye uharifu, amesema tafuta hela kwa udi na uvumba na usiogope ku-take risk.
Kuvuka border, kuvuka maji au kuzamia pits za migodini sio uharifu...huo ni ushujaa wazee.
Uharifu ni kuiba mali za umma ukiwa kiongozi, matumizi mabaya ya madaraka, tozo za ajabu ajabu, kuiba kura nk.
Vijana tukaze pamoja na changamoto nyingi lakini as long as tunapumua, tuna nafasi ya kutoboa....watu wanasema miaka 40 ni ya kuanza bata, utafutaji na muda wa kutoboa hatulingani mazee...Mi ntatafuta hadi siku nakata pumzi...maana wapo waliotoboa na miaka 40, 50, 60 mpaka 90 huko.
Vijana wanaogopa kuacha familia na kwenda hata mikoa ya mbali kutafuta hela. Sio lazima kwenda mbali ila pale inapobidi usisite kuliamsha.
Heshima kwa vijana wote tunao-hustle daily na tunaamini tutatoboa..Mwenyezi Mungu atusimamie.
Mkuu wewe ni mtu wa 190 kwenye maombi ya ule uzi wa lindi, labda niseme PM yangu ilijaa sana kipindi nilipositisha. Tuombe MunguDah kwa huu uzi mpwayungu village NAOMBA utumalizie ile simulizi mkuu
Mimi huwa naamka saa kumi, nasafisha room na kusafisha mwili wangu,nafanya mazoezi ya kujinyoosha sebleni kufika saa kumi na moja na pambana kutafuta dalalada za kwenda kazini hiyo ngoma mpaka saa saba usiku ndonageuza home kwenda kulala, this is my daily rootenHasa ukitokea kwenye familia ya kimachinga unatakiwa upambane Sana kiukweli.
Uchelewe kulala na uwahi kuamka ili uweze kuzitimiza ndoto zako.
Jihushishe na shughuli halali zitakazokuingizia kipato,fuga kuku,fanya kilimo na mengine mengi ilmradi tu utusue.
Umeongea kwa hisia sana, watoto nyanyanyanya hawatakuelewaNyuz kama hizi zinanikumbusha mbali....pesa na kifo vipo karibu sana...vijana tupambane sana...uhai wako anao Mungu tuu..vingine ni bahati mbaya..pesa Tz zipo nyingi sana...fursa kibao..kuzipata sasa? Jee una roho ngumu? Unaweza vumilia njaa? Upo tayar kupoteza kila kitu na ikibid hata ww kupotea? Umivilivu wa maneno, chuki, uonevu, nk..hapo tuu... hongera mkuu kwa nyuz zako wengi sana una wa inspr..
Maisha halisi ya mwanaume mpambanajiMimi huwa naamka saa kumi, nasafisha room na kusafisha mwili wangu,nafanya mazoezi ya kujinyoosha sebleni kufika saa kumi na moja na pambana kutafuta dalalada za kwenda kazini hiyo ngoma mpaka saa saba usiku ndonageuza home kwenda kulala, this is my daily rooten
Yeah sureMaisha halisi ya mwanaume mpambanaji
Nakazia, pesa ndiyo mwanzo, pesa ndiyo mwishoHela inaleta peace of mind mkuu