Usiogope kujilipua kwenye kutafuta maisha, hakuna njia rahisi

Usiogope kujilipua kwenye kutafuta maisha, hakuna njia rahisi

Kila kitu ni risk, ukiwa unatembea ni risk unaweza pata ajali, ukisafiri ni risk, mwanamke kwenda kujifungua ni risk, ukiwa unaendesha gari ni risk... Kila kitu ni risk katika maisha hata chakula tunachokula chaweza kuwa sumu mwilini, wangapi wamelazwa kwa ulaji usio sahihi?

Maisha yetu tumezungukwa na risks kila siku, ukienda mizungukoni ukirudi salama nyumbani ni jambo la kumshukuru Mungu...

Haina haja ya kuogopa ku risk either katika biashara au utafutaji lakini si kwa uhalifu.
Well spoken with observable truth
 
Bonge la Uzi....Vijana inabidi tuwe na fikra za namna hii.

Mleta mada hajasema watu waibe au wafanye uharifu, amesema tafuta hela kwa udi na uvumba na usiogope ku-take risk.

Kuvuka border, kuvuka maji au kuzamia pits za migodini sio uharifu...huo ni ushujaa wazee.

Uharifu ni kuiba mali za umma ukiwa kiongozi, matumizi mabaya ya madaraka, tozo za ajabu ajabu, kuiba kura nk.

Vijana tukaze pamoja na changamoto nyingi lakini as long as tunapumua, tuna nafasi ya kutoboa....watu wanasema miaka 40 ni ya kuanza bata, utafutaji na muda wa kutoboa hatulingani mazee...Mi ntatafuta hadi siku nakata pumzi...maana wapo waliotoboa na miaka 40, 50, 60 mpaka 90 huko.

Vijana wanaogopa kuacha familia na kwenda hata mikoa ya mbali kutafuta hela. Sio lazima kwenda mbali ila pale inapobidi usisite kuliamsha.

Heshima kwa vijana wote tunao-hustle daily na tunaamini tutatoboa..Mwenyezi Mungu atusimamie.
Amina, natumaini wewe umenielewa nakwahili na kuunga mkono japo haujavunjika
 
Hasa ukitokea kwenye familia ya kimachinga unatakiwa upambane Sana kiukweli.

Uchelewe kulala na uwahi kuamka ili uweze kuzitimiza ndoto zako.

Jihushishe na shughuli halali zitakazokuingizia kipato,fuga kuku,fanya kilimo na mengine mengi ilmradi tu utusue.
 
Nyuz kama hizi zinanikumbusha mbali....pesa na kifo vipo karibu sana...vijana tupambane sana...uhai wako anao Mungu tuu..vingine ni bahati mbaya..pesa Tz zipo nyingi sana...fursa kibao..kuzipata sasa? Jee una roho ngumu? Unaweza vumilia njaa? Upo tayar kupoteza kila kitu na ikibid hata ww kupotea? Umivilivu wa maneno, chuki, uonevu, nk..hapo tuu... hongera mkuu kwa nyuz zako wengi sana una wa inspr..
 
Bonge la Uzi....Vijana inabidi tuwe na fikra za namna hii.

Mleta mada hajasema watu waibe au wafanye uharifu, amesema tafuta hela kwa udi na uvumba na usiogope ku-take risk.

Kuvuka border, kuvuka maji au kuzamia pits za migodini sio uharifu...huo ni ushujaa wazee.

Uharifu ni kuiba mali za umma ukiwa kiongozi, matumizi mabaya ya madaraka, tozo za ajabu ajabu, kuiba kura nk.

Vijana tukaze pamoja na changamoto nyingi lakini as long as tunapumua, tuna nafasi ya kutoboa....watu wanasema miaka 40 ni ya kuanza bata, utafutaji na muda wa kutoboa hatulingani mazee...Mi ntatafuta hadi siku nakata pumzi...maana wapo waliotoboa na miaka 40, 50, 60 mpaka 90 huko.

Vijana wanaogopa kuacha familia na kwenda hata mikoa ya mbali kutafuta hela. Sio lazima kwenda mbali ila pale inapobidi usisite kuliamsha.

Heshima kwa vijana wote tunao-hustle daily na tunaamini tutatoboa..Mwenyezi Mungu atusimamie.
Ahsante kwa ujumbe wako mkuu
 
Uzi mzuri sana huu
Naona watu wanachàngia mada mbali mbali wanaunogesha sana sana huu uzi aseh

Kupambana kwa kijana muhimu sana lakini usiibe tu au kufanya uhalifu
 
Hasa ukitokea kwenye familia ya kimachinga unatakiwa upambane Sana kiukweli.

Uchelewe kulala na uwahi kuamka ili uweze kuzitimiza ndoto zako.

Jihushishe na shughuli halali zitakazokuingizia kipato,fuga kuku,fanya kilimo na mengine mengi ilmradi tu utusue.
Mimi huwa naamka saa kumi, nasafisha room na kusafisha mwili wangu,nafanya mazoezi ya kujinyoosha sebleni kufika saa kumi na moja na pambana kutafuta dalalada za kwenda kazini hiyo ngoma mpaka saa saba usiku ndonageuza home kwenda kulala, this is my daily rooten
 
Nyuz kama hizi zinanikumbusha mbali....pesa na kifo vipo karibu sana...vijana tupambane sana...uhai wako anao Mungu tuu..vingine ni bahati mbaya..pesa Tz zipo nyingi sana...fursa kibao..kuzipata sasa? Jee una roho ngumu? Unaweza vumilia njaa? Upo tayar kupoteza kila kitu na ikibid hata ww kupotea? Umivilivu wa maneno, chuki, uonevu, nk..hapo tuu... hongera mkuu kwa nyuz zako wengi sana una wa inspr..
Umeongea kwa hisia sana, watoto nyanyanyanya hawatakuelewa
 
Mimi huwa naamka saa kumi, nasafisha room na kusafisha mwili wangu,nafanya mazoezi ya kujinyoosha sebleni kufika saa kumi na moja na pambana kutafuta dalalada za kwenda kazini hiyo ngoma mpaka saa saba usiku ndonageuza home kwenda kulala, this is my daily rooten
Maisha halisi ya mwanaume mpambanaji
 
17-24 .

Nimezisaka zimeisha nilizopata , Maisha ni magumu aseh kama huna pesa alafu unae akili timamu... Narudia tena unae akili timamu damn ...

Hakuna kukata tamaa , mpaka kieleweke la sivyo Vitu vizuri vya Dunia hii tutaishia kuviona KWA wengine .. vitu hivyo vizuri nazungumzia ..
Elimu Bora (KWA unaowaleta duniani/wanao kutegemea )
Chakula.
Malazi/makazi ..
Afya

Hauwezi toa opinion ukasikilizwa,

Tutafute utajiri wakuu.

Haswa haswa vijana wemzangu wa kiume .. Tupambane Jombaa mpaka tone la mwisho.
Akili mingi , kujimix na Wana wanaohimiza maendeleo binafsi na Jamii KWA ujumla, .

Mda mwingine mafanikio tunayakosa KWA kutokuwa sehemu sahihi , Wakati sahihi .


Nawatakia kila la heri Wapambanaji wote .
 
Back
Top Bottom