Usiogope kuoa kwa sababu ya gharama za kuoa, hizi ni njia rahisi nimekuwekea hapa, chagua itakayokufaa

Usiogope kuoa kwa sababu ya gharama za kuoa, hizi ni njia rahisi nimekuwekea hapa, chagua itakayokufaa

[emoji121]
HIYO NAMBA MBILI HIYO NINA MIKAKATI NAYO!!
Shtuka mkuu! Kuna wenzako wanakuja shtuka wako na 40yrs! By this time nguvu za mwili zishapungua na huwezi tena kuhustle,akili inakuwa imezorota pia unakuwa mwoga wa kuinvest katika biashara.
Umri huu ni "one mistake, two goals" unakuwa maskini wa kutupwa then kifo kinakuja kwa kasi ya bombardier!
Jiulize kwanini wastaafu hufa mapema......
 
Shtuka mkuu! Kuna wenzako wanakuja shtuka wako na 40yrs! By this time nguvu za mwili zishapungua na huwezi tena kuhustle,akili inakuwa imezorota pia unakuwa mwoga wa kuinvest katika biashara.
Umri huu ni "one mistake, two goals" unakuwa maskini wa kutupwa then kifo kinakuja kwa kasi ya bombardier!
Jiulize kwanini wastaafu hufa mapema......
MKUU,

KWA 27 VIPI,
NI TOO LATE KUJILIPUA?
 
27 bado kinda kabisaa mkuu,,ila umri huo ni vizuri zaidi ukawa na mradi wako tayari ushauanzisha au uko mbioni kuuanzisha!
Bado una miaka 8 ya kuitwa kijana teh! teh!
Ninao mradi mdogo wa kunipatia hela ya kula na kulipa rent tu mkuu,
Ila nimemwajiri mtu kwa sababu nami nimeajiriwa.
 
Plan E
Mpe mimba tu, watamwambia aende kwa alie mpa mimba then unakuwa umefanikiwa kirahisi kabisa
 
Ninao mradi mdogo wa kunipatia hela ya kula na kulipa rent tu mkuu,
Ila nimemwajiri mtu kwa sababu nami nimeajiriwa.
Hongera mkuu, Kila kikubwa kilianza kidogo kidogo.
Cha mhimu hapo katika mradi wako uwe serious na usimamizi!
Mfanye mfanyakazi wako ajisikie amani na ajivunie kufanya kazi na wewe,hii itasaidia kujenga ARI ya kujituma na Uaminifu...usicheleweshe malipo yake pasipo sababu yeyote ya msingi!
Lakini usimfanye "Akuzoee" sana hata heshima kwako kama boss ikaanza toweka...good luck!
 
Ila mradi wako utakapo jidhatiti na kuwa na stable income generation usisahau kuacha kazi mkuu...
 
Mkuu, hesabu yako imeyumba ktk gharama ya cheti tu.
 
USIOGOPE KUOA KWA SABABU YA GHARAMA ZA KUOA, HIZI NI NJIA RAHISI NIMEKUWEKEA HAPA, CHAGUA ITAKAYOKUFAA

GHARAMA ZA KUOA NI HIZI

(1) nauli ya kwenda ukweni na kurudi watu wazima wawili mfn 45000 x 4 = 180,000
(2) kishika uchumba ya kwenye bahasha 30,000
(3) nauli yako na mtu mmoja ya kwenda ukweni na kurudi 45,000 x 4 = 180,000
(4) mahari andaa 400,000 hata ukitajiwa milion 10 ww toa 400,000
(5) ela ya pete 2 za 5,000=10000
(6) ela ya vyeti viwili vya ndoa 40,000
(7) ela ya kula njiani wakati wa izo movements ni 50,000

Jumla kuu kabisa hadi unaoa kwa mchanganuo huo hapo juu ni 890,000

PLAN B
(1) MAHARI 360,000
(2) PETE 2 = 10,000
(3) ELA YA VOCHA 15,000
(4) ELA YA VYETI 40,000
(5) NAULI YA KUMTOA MCHUMBA WAKO HUKO ALIPO KAMA HAISHI KARIBU NA WW KWA WAKATI HUO 60,000.
JUMLA NI 485,000
#NB 15,000 YA VOCHA ni kwaajili ya kuwasiliana na ukweni hadi mchakato unakamilika bila kwenda kwao, atakayetaka kuishuhudia ndoa yako basi aje kwa gharama zake mwenyewe

PLAN C
(1) ELA YA PETE 2 za 1000=2000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) ASANTE/MAHARI KWA WAZAZI WA MCHUMBA WAKO 150,000
(4) VOCHA 5000 YA KUWASILIANA NA UKWENI
JUMLA NI 197,000

PLAN D NA YA MWISHO

(1) ELA YA PETE 2 za 500 = 1000
(2) ELA YA VYETI VYA NDOA 40,000
(3) 1,500 KIFURUSHI CHA CHUO CHA KUWASILIANA NA UKWENI
(4) 20,000 YA KUTUMA UKWENI KAMA JUST KUSEMA ASANTENI WAZAZI WETU KWA KUMLEA BINTI YENU, NAOMBA MSINITAJIE MAHARI WALA NINI, NAWAOMBA MNIPE BINTI YENU NIJENGE NAYE FAMILIA.

JUMLA NI 62,500

Kama utakuwa na swali zaidi karibu PM
labda kama unamuoa ebitoke hizo plan ztapendeza
 
Tatizo sio kuoa, ishu ninayoiona mimi ni hao waolewaji. Wakisikia ndoa hata ukijamba utapewa pole. Muoe sasa umuweke ndani uione shuruba yake
 
Njia rahisi ni kumtorosha tuu!wanawake ni very desperate ya kuishi na mume!we ukimwambia toroka uje unamtumia nauli tuu huyu hapa
 
Back
Top Bottom