heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Kuanzia saa sita mchana hadi tatu usiku ila kwa asian season huwa napendelea saa kumi asubuh adi saa nne asubuh, ila nkuwa najuwa uelekeo mzima wa goldAnhaa, what's high season bro? So unalook for reversal candlesticks?
Tufanye umeshinda wewe maana hata nikikusibitishia hadi nukta ya mwisho bado siongezeki na chochote ,trading data zenu zote zpo public ukiwa history ambayo sio yako inajulikana kwa sababu brokers lazima waweke izo data hadharani
we unadhan we ndo wa kwanza kutumia screenshot ambayo sio yako? na hautakua mtu wa mwisho, nlitaka uwe kama mfano kwa wengine haswa ambao bado hawajui pumba mnazowapanga nazo, i am here to tell you that hakuna mwenye mt4 anaetengeneza pesa ya kutumia kuishi, na data zenu zote zpo sio kwamba hatujui 100% ya mt4 traders wote hamtengenezi elaMjomba umetaka trading history nimekupa unataka na details khaa endelea kubisha ila broker namtumia ni Deriv email siwezi weka hapa ata kw dawa labda kama unaweza tumia izo Cr numbers then you go
acha kujitetea, kwan mtu akitaka kukutumia ujumbe kwa email utampa email yako hutampa?Mjomba umetaka trading history nimekupa unataka na details khaa endelea kubisha ila broker namtumia ni Deriv email siwezi weka hapa ata kw dawa labda kama unaweza tumia izo Cr numbers then you go
acha kuigiza maishaDaily withdrawal
Ok thank you hatutengenezi pesawe unadhan we ndo wa kwanza kutumia screenshot ambayo sio yako? na hautakua mtu wa mwisho, nlitaka uwe kama mfano kwa wengine haswa ambao bado hawajui pumba mnazowapanga nazo, i am here to tell you that hakuna mwenye mt4 anaetengeneza pesa ya kutumia kuishi, na data zenu zote zpo sio kwamba hatujui 100% ya mt4 traders wote hamtengenezi ela
sio kirahisi ivo nlitaka tu uwe mfano kwa wengine, above all achana na kufake maishaOk thank you hatutengenezi pesa
Duuh alietuloga wabongo sijui nani kinachoponza wengi kwenye hii industry ni vitu vichache tu GREEDY, PATIENCE, RISK MANAGEMENT, OVER TRADING ... simple example unakuta mtu ana mtaji wa $50 afu anachagua pair yenye high volatility kama GBPUSD na bad enough anatumia lot size ya 1 na unakuta kafungua position kama 4 kwann usichome accnt mbwa ww fx is not for everyone usiforce kila mtu aamini unachokisema kama ww ishawah kkulamba usilazimishe kila mtu aamini Forex ni scam. Prop firms sio wapumbavu kuja kueka some efforts kwenye hii industry SOMA MJUSI WEWE
Bado, itaendelea.Story imeisha!?
Naomba unitagBado, itaendelea.
Bado, kuna mambo yameingiliana. NtaendeleaItaendelea.........
SawaNaomba unitag
mkuu naomba nifundishe strategy yako niishi nayoacha kuigiza maisha
mkuu naomba nifundishe strategy yako niishi nayo
Mzee baba nipatie strategy yako niifanyie kazi kama hutojaliSiwezi provide email ukitaka acc number nakupa jina la broker deriv ila tufanye umeshinda unaubishi wa ajabu mwisho useme nikupe ela ili uamini kama ni za kweli am log out@stakehigh
Huwa unafanyaje sasa si umesema una trade Gold?