Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Hakika ni miaka ssPoleni sana ila yamepita
Zaidi ya 5 hivi😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika ni miaka ssPoleni sana ila yamepita
Hongera kuna ulilojifunza kwenye hiloHakika ni miaka ss
Zaidi ya 5 hivi😅
Hapana Kwa upande wangu. Bolt inanilipa mara 6 Zaidi ya ajira niliyokuaga nayoUnataka kusema things got sideways?
Kwaiyo ni 120,000 x 6 au vipi bhanaHapana Kwa upande wangu. Bolt inanilipa mara 6 Zaidi ya ajira niliyokuaga nayo
Hamna mfanya Forex hapa, PT ndo nini???? Its TP(Take profit)sija weka PT na SL
Nataka iyo seriesIla uongo mbaya forex ni tam ukiijua,na ukawa una displine,stick to the plan don't overtrade ukifika au usipofika lengo toka kwenye soko,pitia series moja hivi inaitwa The devil's Ina hizi mishe unyama mwingi Sana
Sikuwa nalipwa 120Kwaiyo ni 120,000 x 6 au vipi bhana
Hiyo niliiona season 1 tu,alafu nilirushiwa tu nimeitafuta 2 sijapata inshort sijaona site ya kuipata sijui tatitzo ninNataka iyo series
😃😃😃😃Utapigwa vibayaDaaaaah Kweli we mdogo wangu,maana umeniita kwenye sekta yangu huku,mi napendelea GBPJPY
Kutrade.mleta Uzi asikutishe😁
Kwa akili hizi wabongo inabidi wakae mbali sana na hii kitu asee....! Maana ni kitu ambacho hakitaki ujinga ujinga na uvivuForex fanya for fun upate ela ya kula Bata na bby
Yani Ile ela uliyo ipanga ukale weekend na mchuchu ndo iweke huko ikiliwa furesh tu
Njoo DM nikupe takwimu zanguMsidanganyane nimetoa documentary hapo kuwa best trader kwenye best investment firms anawin 50 - 55 percent ya trade zake zote. Yaani kama wewe toka uanze Forest umepoteza 45- 50 percent tu ya hela yako leta data zako nikutafutie kazi huku Frankfurt kwenye investment firms.Maana hao watu wanatafutwa balaa.
Inaonekana madude complex mno,Vijana jifunzeni kutrade shauri zenu ndio ni complicated ila it worth ,no risk no story
🤣🤣🤣Ukiwa trader unatakiwa kuwa na moyo wa uvumilivu😃😃😃😃Utapigwa vibaya
Sihitaji kuja dm nitumie Portfolio yako ya trades zako zote. Na CV yako nikupatie kazi huku Frankfurt. Chap kwa haraka na watalipia hadi nauli. Na sitohitaji hela yeyote toka kwako.Njoo DM nikupe takwimu zangu
Pole sana, mambo ya Jeff hayo 😀Nilikuwa nimechoka na maisha ya kufanya kazi saa nane kwa siku katika ofisi flani hivi pale Posta jijini Dar es Salaam. Ndoto yangu ilikuwa kubwa zaidi kuliko kiti changu cha ofisini na mshahara wangu wa kila mwezi. Nilikuwa na hamu kubwa ya kujaribu kitu kipya, kitu ambacho kingenipa uhuru wa kifedha na fursa za kutimiza ndoto zangu.
Nilitambua kwamba kwenye ulimwengu huu wa kisasa, forex ilikuwa njia inayopendelewa zaidi ya kuwekeza na kupata faida kubwa. Nilivutiwa na hadithi za watu waliojikomboa kutoka kwenye mikono ya ajira na kuwa mabosi wa maisha yao wenyewe kupitia biashara ya forex. Hivyo basi, niliamua kuwa mmoja wao.
Nilipofikiria juu ya kuacha kazi yangu na kujitosa kwenye ulimwengu wa forex, moyo wangu ulijaa msisimko na wasiwasi. Nilisoma vitabu vingi na kujiandaa kwa miezi kadhaa kabla ya kufanya uamuzi wa mwisho. Nikaamua kuwa huu ndio wakati wangu wa kujaribu kitu kipya, wa kujiletea mabadiliko kwenye maisha yangu.
Kuacha kazi haikuwa uamuzi rahisi, lakini nilihisi kwamba huu ndio wakati sahihi wa kujitolea kwenye safari ya forex. Nilijiandaa kihisia na kifedha, nikiwa na matumaini kwamba ningeweza kugeuza ndoto zangu kuwa ukweli. Niliamua kufungua akaunti yangu ya forex na kutumia akiba yangu kama mtaji wa kuanzia. Safari yangu ya kuelekea uhuru wa kifedha ilikuwa imeanza.
Husikose sehemu inayofuata...