Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hatari sana lazima kichwa kivurugikeDaah! Hela ya urithi imeisha yote. Kweli forex haina huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana lazima kichwa kivurugikeDaah! Hela ya urithi imeisha yote. Kweli forex haina huruma
Kwa mie naweza weka trade history kama ni kwa kuamua mwenyewe, kushurutishwa ni sehemu ya kuonyesheana ka dharau flaninadhan amna haja ya kuongea sana mt4 apo kuna sehem ya trade history weka tu ya mwezi uliopita wala hatutaki miezi ingine. nataka iwe fundisho kwa wote wanaokuchukulia serious
Nimemwekea naona kapiga kimya hakuna anachokijuwa zaid ya kubisha kulingana na ujinga wakeKwa mie naweza weka trade history kama ni kwa kuamua mwenyewe, kushurutishwa ni sehemu ya kuonyesheana ka dharau flani
Washenzi wakifeli wanahis kila raia wanaendana ki akiliNimemwekea naona kapiga kimya hakuna anachokijuwa zaid ya kubisha kulingana na ujinga wake
hivi synthetics ni nini? ni tofauti na indices.?Huyo dogo nae bwege, 40M unapigwaje ukiwa na strategy inayofanya kazi? Nilichogundua ukiwa hujui utaratibu wa forex bora ujikite kwenye synthetics. Walau picha picha sio nyingi kule
Hata mimi nimeona sehemu sahihi ya kuwekeza ingawa ni slow kwenye stocks, na hizo ambazo zipo bearish ndio wakati sahihi wa kununua kwa sababu zipo discounted na mwisho wa siku always stocks must go upUsianze, the markets are 100% rigged, ukishakubaliana na hilo pamoja na uncertainties zake zama tu.
Ila kama we mwoga, zama kwenye Newyork stock exchange ama Dar Es Salaam stock exchange, tafuta stocks zinazofanya vizuri kwa Sasa although kwa Newyork kule wako bearish kinyama so nahisi mpaka December.
Kama anataka ku invest atumie interactive Broker yupo vizuri,. Tickmill naona ni kama una tradeSources za brokerage , nenda kwenye website Yao ya Dar Es Salaam stock exchange, utapata infos za kutosha.
Kuhusiana na Newyork stock exchange, unaweza tumia hata forex brokers wanazo stocks, broker mzuri ambaye hatosumbua ni Tickmill.
matunduizi soma hapa.Kama anataka ku invest atumie interactive Broker yupo vizuri,. Tickmill naona ni kama una trade
Asante mkuu. Ataisoma.Kama anataka ku invest atumie interactive Broker yupo vizuri,. Tickmill naona ni kama una trade
Asante mkuu.matunduizi soma hapa.
indices ni kama NASDAQ, US100, DAX, S&P500, EURO 50.hivi synthetics ni nini? ni tofauti na indices.?
hivi synthetics ni nini? ni tofauti na indices.?
huyu hela atakuwa alikuwa anatumiwa signal anakopi ndio balaa halafu kuanza na swing trading ukiwa hujaiva its the easiest way to loose money in forex.Bado ni hela ndefu kupigwa kizembe hivyo. Angeanza hata na dollar 1000 kusikiliza upepo kwanza
Kaka umeongea ukweli mtupu.Ninafanya kazi na wazungu, tunashauriana mambo mengi. Mojawapo ya vitu ambavyo vinafanya waafrika tusiendelee ni imani. Imani tuiache kwenye dini lakini kwenye mambo ya maisha twende na facts. Na facts zinapobadilika tubadilike. Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya na kujifariji. Amka kubali ukweli fanya mengine. Wengi ambao bado mpo kwenye Forex mnakataa ukweli. Na kuna wengine wameshapoteza hela nyingi nafsi inawasuta kuacha. Wengine waliwaconvince watu wao wa karibu wanaogopa kupoteza heshima, wanaendelea na denial. Kina Ontario walitakiwa wawe wa mfano wawe wanaopost trades zao hadi leo. Wako wapi sasa ? Sio tu Tanzania, South Afrika,UK, Australia kote huko kulikuwa na vijana kama Ontario. Wameshawaliza watu hela leo hii hawavumi. Facts ni kitu muhimu sana katika kufanya maamuzi.Kama ambavyo music, boxing, athletic, football, basketball, business, investment,umalaya, usenganyaji,uwongo,wizi,utapeli,udalali,muajiriwa,mtumishi,muoaji,muolewaji,muongeaji,mkimya,mwalimu,muhasibu,mwanasheria,,ufundi ujenzi,mhandisi,mwandishi,mwanasiasa,uchawa,ujipendekezaji,kupiga debe,pimp,kupamba maharusi,mchora madili,.mdangaji,mchonganishi,
Yaani uelewe kila mtu kina kitu akikutana nacho anajua kabisa this is for me no matter what, to get it or die getting it,Kama wale jamaa wanaosema bila nife Ila niwe katika harakati za kwenda Europe.
Anodi Shwaznegger anadai alipoliona jarida la kuhusu USA akiwa na 13yrs akasema kuwa this is EXACTLY where I wanted to end up.
Na Kuna mtu alivyokutana na trading akadai hii ndio inayonifaa mie Mana kwa sababu zifuatazo.
1-huhitaji kujipendekeza kwa mtu anunue bidhaa yako, akuuzie ama awe anakuchangia,akuajiri,awe mteja wako,akutangazie biashara yako,amuunganishe mahala upate kazi ama mchongo.
2- Huhitaji kujinyenyekeza kwa mtu,amaa kutaka kunyenyekewa ili tu ndio ufanyiwe ama ufanye Jambo fulani. Kiufupi kuabudu ama kuabudiwa hakupo. Yaani Kama unanichukia unaweza unachukua Oda zangu sokoni ama namie nikakuuzia ingawa sikupendi Mana simfahamu anayenunua ,this is digital world Ila katika physical world inabidi unikwepe Mana mie Ni mbaya wako.
3- Huhitaji kumfurahisha mtu ama ku polish people to like you ama kumpamba mtu kila wakati unamsifiasifia ili maisha yako Wanao wale,ili akupandishe cheo.
4- huhitaji kuambiwa ama uelekezwe ufanye Nini,yaani huhitaji kuwa Kama mtt unatawaliwa Kama mtumwa,yaani ukitaka kwenda hata toilet inabidi uombe ruhusa kwa Bosi wako,
5- Huhitaji kumfurahisha boss ,mtu,mteja ama yeyote so na hii kipaji.
6-huhitaji kuwaza kuwa utaamka muda gani ,Mara ukimbizane na usafiri road kuwahi job,Mara uwaze Leo nitachelewa nitafokewa,Mara traffic jam.
7-Huhitaji kuwa na mahala pa kufanyia kazi ama Ni muda gani ufanye kazi yaani mahala popote muda wowote na muda unapojisikia wewe unaingia sokoni kuwinda wale ambao wanaendeshwa na tamaa,hofu na haraka ya kutaka pesa ya fasta ,greed ya kutaka kujimwambafai kuwa Ni wako juu ya wengine wanaweza kutembea juu ya maji wanaposhinda kidogo,wasiokubali kupoteza,wanayotaka kuwa sahihi na wasiojua kuwaza kwa muda huo Ila wanawaza kesho na Jana.
8- Huhitaji kujitangaza,Mana sio matangazo,kuwa katika pozi ama Tabia fulani ambayo mmewe ama Bosi wako anaikubali.
8- Huhitaji dress code ,yaani uambiwe ama upangiwe Cha kufanya,kuvaa,lugha za kuongea,Huhitaji yaani mpaka nashindwa kuandika. Yaani unaweza ukameki hela huku unafanyiwa masaje na mtt laini,Mara unaogelea hela inazidi kuingia kwa akaunti yako
9-Hey mazafanta !!!! Do you think those immeasurable freedom come easily or can be handled to you easily like how mother bird hands worm to her chicks??
10- it has got an immesuarable sacrifices, dedication,hard work, commitments, Passion, patience, perseverance, endurance, and cold ice in your nerve blood.
You do what 95% of masses can't do then live the life that 95% desire to live.na ndio Mana hapa wanabakiaga kuomyeshwa hela na kutamanishwa wakiingia tu wanapigwa na kitu kizito wanarudi nyuma wanabakia kuitolea lugha ya kila namna kuwa haifai Mara Ni utapeli.
Hivi wewe kumeki annual salary ya mtu ndani ya masaa matatu unadhani Ni kirahisi Kama kula mbususu kimasiahara,kushabikia Simba na yanga,ama kuongea chadema na ccm,kupeana mbinu za kuzagamua kwa muda mrefu ama kucheki movie na listen music,kula sugary food,kuwaza Leo utaenda kula mbususu gani kwa ist yako. Isn't an easy but it's simple,it can be achieved by only hungry,starved and abnormal mind.
Trading and investment Ni utapeli achana nayo.
Wale Ni ma educators na sio traders na Kuna bado courses and books authors kibao. Wanayo trading knowledge Ila trading physiological hawako poa so wanaishia kuwafundisha wengineKaka umeongea ukweli mtupu.Ninafanya kazi na wazungu, tunashauriana mambo mengi. Mojawapo ya vitu ambavyo vinafanya waafrika tusiendelee ni imani. Imani tuiache kwenye dini lakini kwenye mambo ya maisha twende na facts. Na facts zinapobadilika tubadilike. Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya na kujifariji. Amka kubali ukweli fanya mengine. Wengi ambao bado mpo kwenye Forex mnakataa ukweli. Na kuna wengine wameshapoteza hela nyingi nafsi inawasuta kuacha. Wengine waliwaconvince watu wao wa karibu wanaogopa kupoteza heshima, wanaendelea na denial. Kina Ontario walitakiwa wawe wa mfano wawe wanaopost trades zao hadi leo. Wako wapi sasa ? Sio tu Tanzania, South Afrika,UK, Australia kote huko kulikuwa na vijana kama Ontario. Wameshawaliza watu hela leo hii hawavumi. Facts ni kitu muhimu sana katika kufanya maamuzi.
Kumbe na we ni trader?indices ni kama NASDAQ, US100, DAX, S&P500, EURO 50.
Synthetic hazitaki uboya, ukizingua unapigwa kama ngoma sema cha ajabu mimi ndio nazielewa kinyama yani.Kumbe na we ni trader?
Synthetic indices zile noma, naziheshimu.
Kukubali ukweli ni kujitoa muhanga, inahitaji ujasiri Sana ila ndio njia ya kupona.Kaka umeongea ukweli mtupu.Ninafanya kazi na wazungu, tunashauriana mambo mengi. Mojawapo ya vitu ambavyo vinafanya waafrika tusiendelee ni imani. Imani tuiache kwenye dini lakini kwenye mambo ya maisha twende na facts. Na facts zinapobadilika tubadilike. Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya na kujifariji. Amka kubali ukweli fanya mengine. Wengi ambao bado mpo kwenye Forex mnakataa ukweli. Na kuna wengine wameshapoteza hela nyingi nafsi inawasuta kuacha. Wengine waliwaconvince watu wao wa karibu wanaogopa kupoteza heshima, wanaendelea na denial. Kina Ontario walitakiwa wawe wa mfano wawe wanaopost trades zao hadi leo. Wako wapi sasa ? Sio tu Tanzania, South Afrika,UK, Australia kote huko kulikuwa na vijana kama Ontario. Wameshawaliza watu hela leo hii hawavumi. Facts ni kitu muhimu sana katika kufanya maamuzi.
Ndio maana napambana na Spikes ndio adui mkuu kwenye boom n crashNdo tunawaza hapa tuzike au tusafirishe[emoji18][emoji18][emoji18]