ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hauja muona live yule ni zaidi ya mtuSasa hapo kuna maajabu gani? Nyege mbaya nyiee!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauja muona live yule ni zaidi ya mtuSasa hapo kuna maajabu gani? Nyege mbaya nyiee!!!
Kumbe ana dharau?Kwani wewe unapenda sina gani ya mwanamke w8.
Kwangu na muona ni mrembo.labda hizo dharau zake ndizo zinazotia kichefu chefu
Page yake bado ipo?Yaani siku alipomchafua 'mjomba', pale ndio aliharibu mazima...
Hapo pa ugumu wa ngozi ni changamoto kwa ke wengi. Unakuta tako lipo ila ngozi ya tako sio soft kabisa, hata vibration hakuna.acha kabisa, wee mwone tuu mwanamke akivaa nguo kapendeza, akivua ni kituko, unaweza zani umebadilishiwa.
utaona ke kanenepa anashepu, akivua ni mgumu, ngozi ngumu, mabonde bonde kibao mpaka tako linakuwa na mabonde hasa vibonge.
Yani mpaka hamu inaisha. Hasara tupu, wahivo nisipohairisha huwa sirudii tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Hakuna kitu hapo.Dada yake anaitwa Lwana, ni chuma aka mpini kuliko Nsia!!!!
Huyu Dada hana raha kwa hizi picha..ukimuangalia usoni utaona kabisa anajikaza tu..
Tamaa zake huyo kijana akionjeshwa papuchi anaweza akazarau na kujiona fala 😂😂😂 wanaume huwa tunatamani kabla hujaonja ila ukishapewa unaona kawaida sanaYaani unataka kuuza ukoo wote pesa umpe yeye? Kweli wanaume ni kiumbe tofauti kabisaa😂😂🙌
Mimi hapana, mbona vibwengo wengi tu hawajasoma au wana elimu za kawaida mno na wameoa wachaggaHawa ni wachacharikaji kinouma. Yaani yupo kufanya lolote ili December asiende kudharauliwa.
Unacheza na manka kwanza Kama hauna elimu pesa ama biashara ama miradi ya maana humuoi mkuu.
Wapo wanaotoka Arusha kufuata mzigo dar. Akishafika dar kwanza anauza utamu akipata mtaji anaongezea anachukua mzigo wa maana ,fasta kwa Sai baba ama dar express kwa biashara zake Arusha.
Hao jamaa ni Wana akili ya kiutafutaji sijawahi ona ,Sasa wake afu staafu uone.
Sidhani Kama kwanza Kuna manka atakubali uishi na mtt wa ndugu sema wao kujazana kwako ni halal Ila wa kwako ni Haram shekhe
Hao wanaooa wachagga mpaka wasome ni vyasaka(wanaume wasio wachagga), ila wenyewe kwa wenyewe mbona wanaoana fresh tu. Pia Who's Manka by the way? Mbona wa kawaida mno? Nimewala sana chuoni kwa ofa za mihogo na juice za parachichi za 400.Hawa ni wachacharikaji kinouma. Yaani yupo kufanya lolote ili December asiende kudharauliwa.
Unacheza na manka kwanza Kama hauna elimu pesa ama biashara ama miradi ya maana humuoi mkuu.
Wapo wanaotoka Arusha kufuata mzigo dar. Akishafika dar kwanza anauza utamu akipata mtaji anaongezea anachukua mzigo wa maana ,fasta kwa Sai baba ama dar express kwa biashara zake Arusha.
Hao jamaa ni Wana akili ya kiutafutaji sijawahi ona ,Sasa wake afu staafu uone.
Sidhani Kama kwanza Kuna manka atakubali uishi na mtt wa ndugu sema wao kujazana kwako ni halal Ila wa kwako ni Haram shekhe
Unamjua Lwana mkuu?
Hakuna mahali nitakatiza nisikukuteHuyu ndio yule alitikisa sana mitandao enzi hizo za ze utamu?
Khah sijawaza 🏃🏽♀️🏃🏽♀️Anapatikana ulipokutana naye...
By the way, mbona ana reception ya wajomba zake? au umependa wezere?
😂Sasa umekutana nae halafu unatuuliza anapatikana wapi? Si ungemuuliza!