financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kweli huenda ni bro maana hizi fake i'ds hizi😂Ndo hivyo... na kama ni kaka yako na wewe ndo unauzwa hivyo... hivyo basi.. hivyo tu..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli huenda ni bro maana hizi fake i'ds hizi😂Ndo hivyo... na kama ni kaka yako na wewe ndo unauzwa hivyo... hivyo basi.. hivyo tu..!!!
Tell us more.Tembeleeni Dareda huyo cha mtoto.....
Dareda ni wapi?Tembeleeni Dareda huyo cha mtoto.....
Kumbe kijana huna adabu, jeuri na ndio maana chuo ulilala msikitini. Wanasema'ga' ukiona masikini anateseka aidha mtoto, kijana au mtu mzima, usimuonee huruma, mara nyingi ni kibri chake, dharau na majungu ndivyo vimemuweka hapo.Baba yake marehemu dr swai alifariki nikiwa mwaka wa pili pale kcmc...mzee alikuwa anajifanya mbabe yule kumbe mwanae anagongwa hovyoo...nakumbuka tulikuwa tunapita ward round akanituma groves nikagoma akaenda kunishtaki kwa incharge wa ward..
Kwa WambuluTembeleeni Dareda huyo cha mtoto.....
Manyara mkoa wa Babat.
Mimi mwenyewe daktari mkuuKumbe kijana huna adabu, jeuri na ndio maana chuo ulilala msikitini. Wanasema'ga' ukiona masikini anateseka aidha mtoto, kijana au mtu mzima, usimuonee huruma, mara nyingi ni kibri chake, dharau na majungu ndivyo vimemuweka hapo.
Niliona huruma uliposema ulilala msikitini ukiwa mwaka wa kwanza chuo, kumbe ulistahili kupata kadhia zile. Sio kwa kibri kile ulichoonesha kwa Dr., hukuwa na adabu!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Hawana kitu, wazuri wa sura tu.Manyara mkoa wa Babat.
Ooooh nimekupata. Kwa hiyo alikutuma akitumia ubabe ili a take advantage kwako sio?Mimi mwenyewe daktari mkuu
Nani Lemutuz?Yule jamaa wa Ze Utamu naamini walimzika akiwa hai aisee.
Nani Lemutuz?
Nwenye zeutamu alikua rafiki wa Lemutuz,,Lemutuz cha mtoto aisee. Zeutamu nyie vijana wa leo hamuwezi kumuelewa
NiiceNimekutana nae hapa Mbezi Makonde EB Restaurant.
Jamani unaweza kufa au ukauza ukoo wote!!! Hivi anapatikana wapi?
🤣🤣🤣🤣Anapatikana Mbezi Makonde EB Restaurant
Mbona wa kawaida