Usiombe kukutana na Nsia Swai

Usiombe kukutana na Nsia Swai

Kumbe kaka yetu[emoji28][emoji28] kwa nini anatunyanyapaa wenzie sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio mrefu kiviiileeeee sema ndo hvo ukiwa mfupi unanyanyapaliwa hata ba wafupi wenzako
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio mrefu kiviiileeeee sema ndo hvo ukiwa mfupi unanyanyapaliwa hata ba wafupi wenzako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baba yake marehemu dr swai alifariki nikiwa mwaka wa pili pale kcmc...mzee alikuwa anajifanya mbabe yule kumbe mwanae anagongwa hovyoo...nakumbuka tulikuwa tunapita ward round akanituma groves nikagoma akaenda kunishtaki kwa incharge wa ward..
Kwanini utumwe groves halafu ukatae?.


Hivi Dr. hapo ulimaanisha groves kweli?.

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom