Usiombe kukutana na Nsia Swai

Ndio nani huyu?. Mikoani tunauliza. Halafu mbona kama fuvu?. (Wa dar mtamwita pc kali
 
Hapo pa ugumu wa ngozi ni changamoto kwa ke wengi. Unakuta tako lipo ila ngozi ya tako sio soft kabisa, hata vibration hakuna.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Yaani unataka kuuza ukoo wote pesa umpe yeye? Kweli wanaume ni kiumbe tofauti kabisaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
Tamaa zake huyo kijana akionjeshwa papuchi anaweza akazarau na kujiona fala πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanaume huwa tunatamani kabla hujaonja ila ukishapewa unaona kawaida sana
 
Mimi hapana, mbona vibwengo wengi tu hawajasoma au wana elimu za kawaida mno na wameoa wachagga

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hao wanaooa wachagga mpaka wasome ni vyasaka(wanaume wasio wachagga), ila wenyewe kwa wenyewe mbona wanaoana fresh tu. Pia Who's Manka by the way? Mbona wa kawaida mno? Nimewala sana chuoni kwa ofa za mihogo na juice za parachichi za 400.

So, unaposema sijuo ukiwa broke hutoki nao wala kuoa n.k, nakushangaa mno.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Sasa umekutana nae halafu unatuuliza anapatikana wapi? Si ungemuuliza!
 
Anapatikana ulipokutana naye...

By the way, mbona ana reception ya wajomba zake? au umependa wezere?
Khah sijawaza πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…