Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Una any credible evidence au umefanya any trustable special research kuprove hoja yako?wengi wao wana element hizo
Au unadhani tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una any credible evidence au umefanya any trustable special research kuprove hoja yako?wengi wao wana element hizo
Malizia point yako mkuu.ukute mlugulu au mzaramo awe amesomasoma weeee
Kama warangi. Mwe mweh mwehMimi ni mzaramo, napangisha nyumba lakini ata wapangaji siwajui. Tunakutana kwenye kusaini mikataba. Mambo ya makabila sio ya kuya- generalized. Utafiti wangu mdogo ni kuwa makabila yote wanaongea sana, wengine hawaonekani wanaongea kwa kuwa hawajui kiswahili. Ukitaka kujua wanaongea sana ngoja uwasikie wanaongea kwa kilugha wao kwa wao [emoji3][emoji3]
U fool,just think of ur insanity freak mind,unadhani kuandika huto tu maneno uchwara cha english ndo kwamba uko na shule kubwa than others? Dumbass!!I can sense the smell of your inferiority complex 10 miles away.
mkuu kukataa kwako shule au kuwa na kichwa kigumu na kizito it's non of my business hivyo usinilaumu mimi.
sasa nijibu hayo maswali au sema kama huwezi nikutafsirie then ukishindwa tena nitahitimisha kwamba wewe ni idiot unayetakiwa kupuuzwa, trust me sababu unaargue na kujibu kama mtoto desperately but nothing heldback.
now acha kutia huruma na ujibu hayo maswali.
Vizuri Now unaanza kusikia uchungu wa kumock wengine na kuanza kujihisi uko under attack hivyo unaanza kuwa defensive.U fool,just think of ur insanity freak mind,unadhani kuandika huto tu maneno uchwara cha english ndo kwamba uko na shule kubwa than others? Dumbass!!
Akchuale Hawa ndugu wazaramo, wakwere, n.k sio watu wabaya Ila mleta maudhui kalete haya maudhui Kama anecdote.Nimeanza maisha kwenye nyumba za uliowataja na sikuwahi pata shida nao.
Umeongea jumla ila si kwa wote mkuu.
Akchuale Hawa ndugu wazaramo, wakwere, n.k sio watu wabaya Ila mleta maudhui kalete haya maudhui Kama anecdote.Nimeanza maisha kwenye nyumba za uliowataja na sikuwahi pata shida nao.
Umeongea jumla ila si kwa wote mkuu.