Usiombe mwenye nyumba wako awe mzaramo, mndengereko, mluguru au mkwere

Usiombe mwenye nyumba wako awe mzaramo, mndengereko, mluguru au mkwere

Mimi ni mzaramo, napangisha nyumba lakini ata wapangaji siwajui. Tunakutana kwenye kusaini mikataba. Mambo ya makabila sio ya kuya- generalized. Utafiti wangu mdogo ni kuwa makabila yote wanaongea sana, wengine hawaonekani wanaongea kwa kuwa hawajui kiswahili. Ukitaka kujua wanaongea sana ngoja uwasikie wanaongea kwa kilugha wao kwa wao [emoji3][emoji3]
Kama warangi. Mwe mweh mweh
Aisee ukioa mrangi ujipange. Ni redio tosha.
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
I can sense the smell of your inferiority complex 10 miles away.
mkuu kukataa kwako shule au kuwa na kichwa kigumu na kizito it's non of my business hivyo usinilaumu mimi.
sasa nijibu hayo maswali au sema kama huwezi nikutafsirie then ukishindwa tena nitahitimisha kwamba wewe ni idiot unayetakiwa kupuuzwa, trust me sababu unaargue na kujibu kama mtoto desperately but nothing heldback.

now acha kutia huruma na ujibu hayo maswali.
U fool,just think of ur insanity freak mind,unadhani kuandika huto tu maneno uchwara cha english ndo kwamba uko na shule kubwa than others? Dumbass!!
 
U fool,just think of ur insanity freak mind,unadhani kuandika huto tu maneno uchwara cha english ndo kwamba uko na shule kubwa than others? Dumbass!!
Vizuri Now unaanza kusikia uchungu wa kumock wengine na kuanza kujihisi uko under attack hivyo unaanza kuwa defensive.

Sijui ni kwanini ila kujua lugha ambayo umeitumia shule kwa muda mrefu ni kitu cha kawaida sana labda kwa sababu wewe hujasoma shule au kichwa kizito hivyo unaona ajabu kuona mwengine anaitumia mpaka kufikia hatua ya kuona ni bonge la point la kutokea.

Kitendo cha wewe kushindwa kuandika maneno hayohayo ya kiingereza na sio kiingereza tu hata maneno ya kiswahili kwa ufasaha.
ni evidence tosha kwamba mimi nimekuzidi elimu, Yes mimi kuandika maneno ya kiingereza na kiswahili kwa ufasaha ni evidence tosha nimekuzidi elimu just like you said before.
na hapo sio kwamba nadhania hapana bali ni fact, hakuna mtu aliyesoma alafu asijue au ashindwe kuandika kwa ufasaha.

Na wewe kipi kimekufanya ujihisi uko juu au wewe ni noble na perfect zaidi ya hao wengine mpaka uje hapa kuwamock na kuwageneralize wote,
kama hata wewe mwenyewe kuandika hujui?

What's so special about you? you breath fire?

Jibu yale maswali au utakuwa unaprove kwamba wewe ni idiot hivyo unatakiwa kupuuzwa na wenzako wote.
 
Nimeanza maisha kwenye nyumba za uliowataja na sikuwahi pata shida nao.

Umeongea jumla ila si kwa wote mkuu.
 
Nimeanza maisha kwenye nyumba za uliowataja na sikuwahi pata shida nao.

Umeongea jumla ila si kwa wote mkuu.
Akchuale Hawa ndugu wazaramo, wakwere, n.k sio watu wabaya Ila mleta maudhui kalete haya maudhui Kama anecdote.
Makabila yote Yana mapungufu yao. Njoo hapa TABORA uppange nyumba ya mwanamke wa kinyamwezi mwenye mabinti ambao hawaoleki uone Moto. Au panga kwa wanyakyusa halafu uwe unakula kula nyama wakati yeye analalia mbaraga na makatapera uone Moto.
 
Back
Top Bottom