Usiombe mwenye nyumba wako awe mzaramo, mndengereko, mluguru au mkwere

Usiombe mwenye nyumba wako awe mzaramo, mndengereko, mluguru au mkwere

Mimi nimesoma uchagani na nimeishi na wachagga hata sasa ndio niko nao, huniambii kitu kuhusu wao. Tuachane na kuoa kule sitarajii, ila kuishi nao ni faida. Wasukuma wako poa ila nao wana maeneo tofauti, wale wa Bariadi hawapendelewi sana. Mimi natamani kuoa msukuma kama ningelazimika kuoa kabila.

Kilugha sio shida ni mambo madogo hayo.
Hapo wasukuma wa bariadi hawapandelewi umemaanisha nini?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna muhaya na mjita hawafai kwa nyodo ukipanga kwake Ni km vile anakumiliki atakuwekea masharti ya kisenge senge tu
 
Waluguru ni habari nyingine, maisha yangu sijawahi kukutana na mtu alieivunja rekodi ya mluguru kwa kuongea.....bado!!!
Na chura pia

1623675289781.png
 
Hawa watu ni tatizo sana, huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana, wasumbufu, wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.
SASA KUTANA NA MADALALI WA MAKUNDI HAYA. WANAONGEA MBWA HAWA
 
sijui hao wengine. but do you have any credible evidense or results of any accomplished research in order to prove your disparagement generalization kwamba wazaramu ni tatizo na wana midomo michafu?

jibu hilo swali au utakuwa unaprove mwenyewe kwamba ulichoandika kimebase on your own deluded perspectives, opinions and inborn stupidity, kiufupi ulichoandika ni pumba.

Now answer the goddamn question.

kingine ni kwamba ukabila ni ujinga, mtu yoyote mwenye vinasaba vya ukabila ni braindead and i can prove that.
Usiombe mzaramu,mndengereko,mluguru au mkwere ajue kiingereza...
 
Said fella,Salam ,kheri mzozo......
Nitaendelea baadae kidogo
 
basi utakua huwajui wamakonde asilani,99.99% ya wamakonde ni waislamu
Labda wamakonde wa huko Mtwara.
Huku TANGA hususan Pangani wamakonde ndio wanaongoza kula vitu vichafu Kama Tumbili, fungo hasa fungo wanalipenda sana, nyani na kila kimnyama Cha porini. Huku watu wakiua nguruwe pori mashambani wanawaita wamakonde wachukue mzoga wao.
Kwa kweli huku Kuna wamakonde wengi lkn sijawahi kuwaona masjid. Hata Ile kanzu na baraghashia ya geressha tu hawana. Muda wote wanavizia komba kwenye minazi na kunywa pombe ya Mnazi.
 
Labda wamakonde wa huko Mtwara.
Huku TANGA hususan Pangani wamakonde ndio wanaongoza kula vitu vichafu Kama Tumbili, fungo hasa fungo wanalipenda sana, nyani na kila kimnyama Cha porini. Huku watu wakiua nguruwe pori mashambani wanawaita wamakonde wachukue mzoga wao.
Kwa kweli huku Kuna wamakonde wengi lkn sijawahi kuwaona masjid. Hata Ile kanzu na baraghashia ya geressha tu hawana. Muda wote wanavizia komba kwenye minazi na kunywa pombe ya Mnazi.
Ngoja nikuambie kitu,Wamakonde wa TZ ni waislam pure na hawali mavitu ya hovyo,ukikuta Mmakonde Mkristo huyo ni kutoka Msumbiji wale wanaochanja chale usoni,tunawaita "Wamawia" muulize Mmawia,na kwa mkoa wa Mtwara wanaokula panya sio wamakonde bali ni wamakua/wayao wa masasi na tena mostly ni wakristo.....hao wamakonde wa Tanga asili yao ni Msumbiji (WAMAWIA) wachafu sana wanakula mpaka Bundi.
 
Nipo hapa kwa ajili ya Michango ya WADAU tu
 
Utakuwa mjinga ukienda kupanga kwa hao watu...
bora ukakaa stendi tu
Mimi ni mzaramo, napangisha nyumba lakini ata wapangaji siwajui. Tunakutana kwenye kusaini mikataba. Mambo ya makabila sio ya kuya- generalized. Utafiti wangu mdogo ni kuwa makabila yote wanaongea sana, wengine hawaonekani wanaongea kwa kuwa hawajui kiswahili. Ukitaka kujua wanaongea sana ngoja uwasikie wanaongea kwa kilugha wao kwa wao [emoji3][emoji3]
 
Wenye nyumba hupitia changamoto kubwa mno kutoka kwa baadhi ya wapangaji wao pengine kuliko hata wapangaji wanavyopata kutoka kwa wenye nyumba.

Kuna wapangaji hawajielewi.
Umeongea ukweli mtupu. Wengine chogi tupu. Anakwambia nataka nyumba lakini aina AC, unamwekea AC anakaa miezi 6 anakwambia hana fedha ya kodi kubwa anahama. Yaani baadhi ya wapangaji ni watata sana hususan, kwenye kulipa [emoji56][emoji56][emoji56]
 
Usiombe mzaramu,mndengereko,mluguru au mkwere ajue kiingereza...
I can sense the smell of your inferiority complex 10 miles away.
mkuu kukataa kwako shule au kuwa na kichwa kigumu na kizito it's non of my business hivyo usinilaumu mimi.
sasa nijibu hayo maswali au sema kama huwezi nikutafsirie then ukishindwa tena nitahitimisha kwamba wewe ni idiot unayetakiwa kupuuzwa, trust me sababu unaargue na kujibu kama mtoto desperately but nothing heldback.

now acha kutia huruma na ujibu hayo maswali.
 
Back
Top Bottom