Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni mkristo watakukera tu kwa kuzuia tu kula kitimoto,wamakonde ni watu wa swala tanoUkipanga Nyumba ya mmakonde,ina vitimbi gani?.
uzuri hao ndio wenye nyumba mjini ulipokuja kutafuta maisha ulipokimbia kwenu. jenga ya kwako au rudi kwenu uwepujane naoHawa watu ni tatizo sana,huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana,wasumbufu,wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.
Kwa hiyo nyumba zote za mjini ni za wazaramu,ndengereko,waruguru au kwere?uzuri hao ndio wenye nyumba mjini ulipokuja kutafuta maisha ulipokimbia kwenu. jenga ya kwako au rudi kwenu uwepujane nao
Aisee yote Tisa kumi ni pale mtakapolazimishwa wote mtumie pair moja ya kandambili kuingia chooni na bafuni. Hili jambo huwa linafedhehesha sanaHawa watu ni tatizo sana, huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana, wasumbufu, wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.
Mimi mpole, hata ndugu zangu wengi tu wapole sana.Kwa mluguru mzaramo akasome....
Waluguru wanaongea jamani 🙌
Wake zao wako vizuriHawa watu ni tatizo sana, huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana, wasumbufu, wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.
Waluguru ni habari nyingine, maisha yangu sijawahi kukutana na mtu alieivunja rekodi ya mluguru kwa kuongea.....bado!!!Mimi mpole, hata ndugu zangu wengi tu wapole sana.
Wachaga ndiyo kiherehere mno! Na wasukuma.
i seeWaluguru ni habari nyingine, maisha yangu sijawahi kukutana na mtu alieivunja rekodi ya mluguru kwa kuongea.....bado!!!
baharia kaziniWake zao wako vizuri
Hakuna atakayekuunga mkono hapo kwa wachaga na wasukumaMimi mpole, hata ndugu zangu wengi tu wapole sana.
Wachaga ndiyo kiherehere mno! Na wasukuma.
🤣wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake
Na ukute mmama hana mume in late 40s kila siku kajitia kangamoko au kadela laini kila akikuona anaanza kujiimbisha ule wimbo wa Moyo kama Macho wa Junior Kivurande.Hawa watu ni tatizo sana, huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana, wasumbufu, wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.
Ndugu acha ukabila ........this is so unfair and too judgmentalHawa watu ni tatizo sana, huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana, wasumbufu, wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.
We bilashaka utakuwa ndio wale unakuta chooni Kuna ndala, we ukitoka uko unaingia na maviatu yako yenye uchafu Hadi chooni,,,Aisee yote Tisa kumi ni pale mtakapolazimishwa wote mtumie pair moja ya kandambili kuingia chooni na bafuni. Hili jambo huwa linafedhehesha sana
Kuna muda nilipanga nyumba flani, alikuepo jamaa anae zama na maviatu, yaani alikua ànakera hatari. Halafu hajali wala nini!!We bilashaka utakuwa ndio wale unakuta chooni Kuna ndala, we ukitoka uko unaingia na maviatu yako yenye uchafu Hadi chooni,,,
Ha haa! alikuwa na maana WILLDuu,,wheel ndio nn????