Usiombe mwenye nyumba wako awe mzaramo, mndengereko, mluguru au mkwere

Usiombe mwenye nyumba wako awe mzaramo, mndengereko, mluguru au mkwere

Hawa watu ni tatizo sana, huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana, wasumbufu, wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.

sijui hao wengine. but do you have any credible evidense or results of any accomplished research in order to prove your disparagement generalization kwamba wazaramu ni tatizo na wana midomo michafu?

jibu hilo swali au utakuwa unaprove mwenyewe kwamba ulichoandika kimebase on your own deluded perspectives, opinions and inborn stupidity, kiufupi ulichoandika ni pumba.

Now answer the goddamn question.

kingine ni kwamba ukabila ni ujinga, mtu yoyote mwenye vinasaba vya ukabila ni braindead and i can prove that.
 
upo sahihi kaka nyumba ninayoishi ni ya wazaramo gubu lao la maana ikifika tarehe 20 unagongewa mlango unaambiwa ikifika tarehe 1 nataka hela yangu isipite hata siku sasa ngoja ipite tarehe 1 hujampa anakuvizia asubuhi unatoka ama saa usiku ukirudi
Unajuaje wazaramu wote wana tabia kama za hao uliowataja?
 
Tatizo mshakaribishwa mjini na sasa mji mnaujua ndio mnaanza nyodo hongereni sana sasa unapomaliza kumsema mzaramo sema na wewe kabila lako linatatizo gani ili tuanze kulijadili
 
umekuja kwa speed sana!
sijui hao wengine. but do you have any credible evidense or results of any accomplished research in order to prove your disparagement generalization kwamba wazaramu ni tatizo na wana midomo michafu?

jibu hilo swali au utakuwa unaprove mwenyewe kwamba ulichoandika kimebase on your own deluded perspectives, opinions and inborn stupidity, kiufupi ulichoandika ni pumba.

Now answer the goddamn question.

kingine ni kwamba ukabila ni ujinga, mtu yoyote mwenye vinasaba vya ukaila ni braindead and i can prove that.
 
Kuna mluguru mmoja akilewa tu akaingia ndani akakuta vyombo barazani utasikia,
nyie watu mmepanga baraza na chumba? Sasa mbona mnalipa hela ya chumba tu
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Wachaga wangekuwa wanaongea masaa mia wasingekuwa kabila lenye unafuu wa maisha hapa bongo..

Acha porojo wewe..
Porojo?
Mbona wamasai siyo kiherehere na hawana unafuu wa maisha?
 
Hawa watu ni tatizo sana, huwa hawajali sana kodi lakini wana mambo ya uswahili sana, wasumbufu, wana midomo michafu bahati mbaya sasa ukute umepanga nyumba na anaishi humo humo hivyo vitimbi vyake hakuna rangi utaacha ona.
Sasa unategemea nini kwa mswahilina ambaye hata darasani hajawahi kukanyaga...dizaini ya hao watu hata wakiwa jirani zako tu ni mtihani.
 
Wenye nyumba hupitia changamoto kubwa mno kutoka kwa baadhi ya wapangaji wao pengine kuliko hata wapangaji wanavyopata kutoka kwa wenye nyumba.

Kuna wapangaji hawajielewi.
 
ila watoto wao ni watamu na ukinogewa ndoa ya mkeka inakuhusu
 
Ndio mmekuja leo mjini washamba wakubwa nyie. Kupata elfu 10 ya kupanga chumba mnachooonga
Tatatibu basi mtani, maana hapo tayari umedhirisha ukweli wa huu uzi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nililipa Kodi akanipa funguo zangu, siku Kaja akakuta nimehamia ATI kashangaa na kuniuliza "wewe unajiamini Sana unahamiaje bila kunitaarifu? Ajabu ya Ile nyumba kila anayehamia pale ataondoka na Hali mbaya kimaisha na kazi akiwa amepoteza kazi akisikia Hilo utasikia anasema nilijua tu,
 
Back
Top Bottom