Usiombe ukutane na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza

Usiombe ukutane na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza

Umeniwahi na hii comment. Amsubiri Makumbusho kwenye maduka ya iphone baada ya ku graduate.

Atamkuta kafuga ndevu zilizopakwa super black. kisuruali kimembana kinaishia juu ya kiwiko, maneno mengi ya kudalalia iphone. Hapo hatowaza hata ku hack account yake yeye mwenyewe.
Nimejikuta nacheka Kifala dah heheheheheheh
 
Hapo akikutana na mimi ambaye naangalia tu bila kuelewa kitu basi ananifanya kama sehemu yake ya kutolea mafunzo. "Usione hivi, nikiwa serious na JavaScript, Python na Hii JQuery kwa huu mwaka nakuhakikishia mwakani napiga project hata mbili tu kila moja 1.5M hapo navuta 3.0M fasta" hii kauli inasemwa kwa nguvu.
"Sasa unajifunzaje?" ukimuuliza hivi anajibu " Ni rahisi tu, kuna website inaitwa w3school, kuna muda unakopi codes alafu unazibadilisha kidogo tu kitu himo. Alafu nimekumbuka ngoja nitumie Sublime naona hii VS Code inaanza kuganda, code nilizoweka nzito sana [emoji23][emoji23][emoji23]".

Unaweza kupasuka hata mbavu ila kutokana na ukaribu wenu na ushkaji unajikuta unakausha tu na kujipa moyo kwamba utachekea nje [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hapo akikutana na mimi ambaye naangalia tu bila kuelewa kitu basi ananifanya kama sehemu yake ya kutolea mafunzo. "Usione hivi, nikiwa serious na JavaScript, Python na Hii JQuery kwa huu mwaka nakuhakikishia mwakani napiga project hata mbili tu kila moja 1.5M hapo navuta 3.0M fasta" hii kauli inasemwa kwa nguvu.
"Sasa unajifunzaje?" ukimuuliza hivi anajibu " Ni rahisi tu, kuna website inaitwa w3school, kuna muda unakopi codes alafu unazibadilisha kidogo tu kitu himo. Alafu nimekumbuka ngoja nitumie Sublime naona hii VS Code inaanza kuganda, code nilizoweka nzito sana [emoji23][emoji23][emoji23]".

Unaweza kupasuka hata mbavu ila kutokana na ukaribu wenu na ushkaji unajikuta unakausha tu na kujipa moyo kwamba utachekea nje [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Noma sana japo umeongea lugha yenu ya IT
 
Hichi kitu kinapotezea sana watu muda, nilikua nafanya hivi vitu chuo, mwisho wa siku ukijiangalia hata muuza Ice cream ana kipato kikubwa kuliko wewe, bora niliondoka tu mapema. Mshauri aachane na hio mentality, hata kama anacode inabidi awe na mentality za mfanyabiashara.
Mwenyewe kama sio vitabu vya business na personal development nisingehamisha mawazo.
Namshukuru sana mungu mimi ni dalali hivi sasa
 
Back
Top Bottom